Wanaume wanatafuta bikra. Wanafikiri hao housegirls waliotoka sitimbi wanazo.
daughter tutaweza wapi jamani
Tuna watoto wadogo na kazini tunatakiwa mapema
La sivyo waajiri watupe ruhusa ya kuingia ofisini na watoto
Napata picha muajiri ni St.RR
Hapa nikiunganisha na ile sredi ya wanawake wa mujini wote wameshatoa mimba, nakonkloudi hausigelo wa FL1 ana mimba ya muzee ya FL1.
Ni kweli pamoja na mapungufu haya hicho ndicho chanzo cha wewe kukufanya utembee na H/G?
Migumegume + vikwekerekwe = ?
Nshampiga saundi mkoloni......nawahi kule gesti....
Wanaume wanatafuta bikra. Wanafikiri hao housegirls waliotoka sitimbi wanazo.
Migumegume + vikwekerekwe = ?
Wanaume wanatafuta bikra. Wanafikiri hao housegirls waliotoka sitimbi wanazo.
House girl wako unamlipa kiasi gani kwa mwezi?
Kiongozi,
Kwani na wewe ni shabiki wa "MODERN TAARABU"? Hiyo red siwezi hata kuitamka!
usisahau kale kadola....njoo m here beb wtng 4uuuuuuuuuuu
Sio hivyo, lakini kumbuka mvuto wa mapenzi huchochewa hasa pale mtu anapokufanya ufurahi mda mfano: Uko katika mawazo anakufanya uyasahau, unarudi nyumbani umechoka anakufariji, anakujali na vitu kama hivyo, utakuta unafurahia mda mwingi ukiwa nae.
Mapenzi huanza kwa kufurahia/kufurahiana.
Ni ukosefu wa adabu tu on their side, period!
Ni ukosefu wa adabu tu on their side, period!
House girl wako unamlipa kiasi gani kwa mwezi?
labda mie ndo namba tatu ee?
Asprin kwani ww hujawahi kuingia katika hii dhahama ?
Unaweza kuninong'oneza kama kusema hapa ni ngumu :A S 27: