Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
[/COLOR]
Siyo sababu FL1,ila ujue wanaume wengi wa siku hizi hawaoni mbele ya pua zao,wala hawafikirii,zaidi ni cheap,bado nguvu za giza,bado ushamba na kuiga mambo ya kipuuzi,kupungua kwa hofu ya Mungu,kutofundishwa wakiwa wanaenda jandoni,kupenda sifa za kijinga na makundi mabaya!There is nothing that can justify this behaviour......ila ndo nimesema,lets do our best on our responsibilities as wome/wives,the rest,LET GOD HANDLE THAT.
Afadhali umesema wanaume wengi, na siyo wote. Ningekutwanga laana.
BTW hujambo mpenzi? Unajua navokumisi lakini?