Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Baadhi ya Wanaomkosa nyerere wana hoja lakini unajua unaweza ku analyse mechi ikiwa imeisha au mapunziko ukaonekana unajua sana mpira........
Before you crticise someone walk a mile on his/her shoes. Unajua ni Rahisi zaidi kucritise Mkapa ay Kikwete bcs tunaweza hata kusense na mazingira ya uongozi wao.
Na na tutakuwa hutuitendei haki historia ukimchambua neyerere huku akili yako yako yote ikiwa iko mwaka 2000.
Anayetaka kucritise Nyerere kwa haki na mapungufu yake anatakiwa kuzingatia factors zote, na changamoto za miaka hiyo.
Watu wengi hawamkosoi Nyerere kwa sera za ujamaa na Azimi la Arusha. Wengi wanakosa output yake. lakini Ideoogy na mawazo ya azimio la Ausha ni wengi waliikubali.
Strategically maaamuzi mengi aliyofanya nyerere yalikuwa ni kwa manufaa ya watanzania . Iwe ni Azimio la Arusha lilio fail, Iwe ni Kuzuia viongozi wa ummakujilmbiiza mali na kutokuwa mabepari.
Before you crticise someone walk a mile on his/her shoes. Unajua ni Rahisi zaidi kucritise Mkapa ay Kikwete bcs tunaweza hata kusense na mazingira ya uongozi wao.
Na na tutakuwa hutuitendei haki historia ukimchambua neyerere huku akili yako yako yote ikiwa iko mwaka 2000.
Anayetaka kucritise Nyerere kwa haki na mapungufu yake anatakiwa kuzingatia factors zote, na changamoto za miaka hiyo.
Watu wengi hawamkosoi Nyerere kwa sera za ujamaa na Azimi la Arusha. Wengi wanakosa output yake. lakini Ideoogy na mawazo ya azimio la Ausha ni wengi waliikubali.
Strategically maaamuzi mengi aliyofanya nyerere yalikuwa ni kwa manufaa ya watanzania . Iwe ni Azimio la Arusha lilio fail, Iwe ni Kuzuia viongozi wa ummakujilmbiiza mali na kutokuwa mabepari.