Wanaomkosoa Nyerere wana hoja?

Ukitaka kujua vizuri kwamba Nyerere alikuwa kiongozi wa aina gani, inabidi uangalie vitu kama Honesty, Integrity, Emotional Intelligence, na Visionary. Ktk hizo qualifications za leaderships Nyerere KAFELI zote hizo qualifications.

Honesty- Nyerere anasifiwa kwa propaganda zake kwa WTZ.
Integrity- Nyerere alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Alikuwa afuati sheria za nchi, kwa sababu alikuwa Dictator.
Emotional Intelligence-Groups EI- Ktk hili ndio kafeli kabisa. Alikuwa hataki kuheshimu mawazo ya wengine. Alikuwa mkali, mbabe, nk.
Visionary- Kafeli kuweka miundo mbinu ya nchi. Sera zake za Ujamaa, Chama kimoja CCM, zimeifanya TZ kuwa nyuma kimadeleo.

Ukiangalia hizo qualifications za kiongozi bora utaona jinsi Nyerere alivyofeli kabisa.
 
Ukitaka kujua vizuri kwamba Nyerere alikuwa kiongozi wa aina gani, inabidi uangalie vitu kama Honesty, Integrity, Emotional Intelligence, na Visionary. Ktk hizo qualifications za leaderships Nyerere KAFELI zote hizo qualifications.

Honesty- Nyerere anasifiwa kwa propaganda zake kwa WTZ.
Integrity- Nyerere alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Alikuwa afuati sheria za nchi, kwa sababu alikuwa Dictator.
Emotional Intelligence-Groups EI- Ktk hili ndio kafeli kabisa. Alikuwa hataki kuheshimu mawazo ya wengine. Alikuwa mkali, mbabe, nk.
Visionary- Kafeli kuweka miundo mbinu ya nchi. Sera zake za Ujamaa, Chama kimoja CCM, zimeifanya TZ kuwa nyuma kimadeleo.

Ukiangalia hizo qualifications za kiongozi bora utaona jinsi Nyerere alivyofeli kabisa.

But we have to agree JKN was far better off than the current president
 
Kwanza kabisa naomba niweke wazi kuwa wengi wa wakosoaji wa viongozi wenye majina makubwa Tanzania ni watu wanaosaka umaarufu ingawaje nakubali kuwa wapo kweli wanaokosoa kwaajili ya kujenga taifa hivyo sio kila amkosoaye Nyerere ana hoja bali wengine wanataka umaarufu ingawa pia sishawishiki kuwa wakosoaji wa Nyerere wanafanya hivyo kwa maslahi ya taifa.

Kuhusu Nyerere kukosolewa hilo sina tatizo nalo ila mpaka leo hii hakuna hata kiumbe mmoja wa Tanzania hii aliyekuja na hoja mbadala ambazo zimezaa matunda nadhani wote mashahidi wa jinsi ubinafsishaji unavyoliuza taifa letu.

Mwalimu alitaja maadui watatu ujinga, maradhi na umasikini lakini miaka hamsini baada ya uhuru hakuna aliyepinga hili kwa hoja kuwa hawa ndiyo maadui wetu na mwishowe kinachonitia hofu ni jinsi wakosoaji hawa walivyoibuka kwa wingi baada ya Nyerere kufa, je walikuwa wanamwogopa? kwa maana aliacha urais tangu 1985 lakini hata 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi hawakumkosoa kiasi hiki ingawaje alishiriki kwenye kumpigia kampeni Benjamin Mkapa, hofu yangu ni kuwa tayari kuna fununu kuwa Nyerere anachafuliwa kwa makusudi tu.

Hivi Bwana Kambota unaweza japo kidogo kuzingatia busara ya usemi kuwa akili nyepesi hujadili mtoa hoja ilhali akili zilizotanuka hujadili mada husika?Ni vigezo gani ulivyotumia kutambua kuwa baadhi ya wanaomkosoa Nyerere wanatafuta umaarufu?Nilikuhoji katika jibu langu la awali, "hivi mtu anapataje umaarufu kwa kumkosoa Nyerere",so far hujajibu bali unaendelea kuhukumu.Kama kumsoa ni kusaka umaarufu,je wanaomsifia wanasaka nini?

Na unaponyooshea watu kidole,kumbuka kidole kingine kinalenga kwako pia.Hivi tukikubaliana nawe kuwa baadhi ya critics wa Nyerere wanafanya hivyo kusaka umaarufu,hudhani kuwa na wewe unayewakosoa hao critics wa Nyerere unaweza kutuhumiwa kuwa unasaka umaarufu kwa kudandia hoja za wengine?

Halafu maswali mengine unayouliza yanaweza kutia mawaa harakati zako za kuwa mchambuzi mahiri.Unauliza kwanini Nyerere anakosolewa sasa?Jibu jepesi ni kuwa mfumo wa siasa hadi Nyerere anaondoka madarakani haukuruhusu maoni/mawazo mbadala.Kumkosoa Nyerere zama hizo ilikuwa ni sawa na uhaini.

Pengine jibu jingine la "why now" ni sehemu ya kuangalia mustakabali wa taifa letu,kwa minajili ya wapi tulikwenda kombo na kwa sababu zipi basi tufikie katika mazingira haya ya viongozi miungu-watu na mafisadi sugu.Kuuliza maswali magumu kuhusu taifa letu na uongozi si dhambi just like isivyo dhambi kusoma historia ya nchi.Tunapaswa pia kutambua siasa si dini: kwenye dini cha muhimu ni imani,na kuhoji imani ni kujichumia dhambi za bure.Siasa,on the other hand,ni tofauti.Unless unaishi katika mfumo wa kidhalimu usioruhusu muhimu na kukosoa bali kupongeza pekee,wadau wa maendeleo ya nchi wana haki na uhuru-kupitia Katiba-kufanya hivyo (muhimu,kukosoa,etc).Ndio freedom of expression ambayo wenzetu mnatafsiri kuwa ni kusaka umaarufu (which is fine kwani kwa kufanya hivyo nanyi mna-exercise freedom of expression).
 
But we have to agree JKN was far better off than the current president

Agreed,but two wrongs do not make a right.Ubabaishaji na upuuzi mwingine wa Kikwete hauwezi kuhalalisha kufunika mapungufu aliyokuwa nayo Nyerere.Na JK anaweza kujitetea (katika kuficha udhaifu wake) kuwa alirithishwa nchi iliyokwishakongoroka.With exception of madhara ya the 1978-9 Kagera war,Nyerere angeweza kutupa sababu zipi za msingi za kuliacha taifa likiwa hoi bin taaban wakati anastaafu 1985?
 
Agreed,but two wrongs do not make a right.Ubabaishaji na upuuzi mwingine wa Kikwete hauwezi kuhalalisha kufunika mapungufu aliyokuwa nayo Nyerere.Na JK anaweza kujitetea (katika kuficha udhaifu wake) kuwa alirithishwa nchi iliyokwishakongoroka.With exception of madhara ya the 1978-9 Kagera war,Nyerere angeweza kutupa sababu zipi za msingi za kuliacha taifa likiwa hoi bin taaban wakati anastaafu 1985?

Ni kweli Nyerere hakutaka kukosolewa?

Sasa ili tusiende mbali naomba unisaidie kwanza kutuambia ni unapozungumzia "kukosoa" una maana gani? Na ili ukosoaji uwe ukosoaji unahitaji nini hasa?
 
Ukitaka kujua vizuri kwamba Nyerere alikuwa kiongozi wa aina gani, inabidi uangalie vitu kama Honesty, Integrity, Emotional Intelligence, na Visionary. Ktk hizo qualifications za leaderships Nyerere KAFELI zote hizo qualifications.

Honesty- Nyerere anasifiwa kwa propaganda zake kwa WTZ.
Integrity- Nyerere alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Alikuwa afuati sheria za nchi, kwa sababu alikuwa Dictator.
Emotional Intelligence-Groups EI- Ktk hili ndio kafeli kabisa. Alikuwa hataki kuheshimu mawazo ya wengine. Alikuwa mkali, mbabe, nk.
Visionary- Kafeli kuweka miundo mbinu ya nchi. Sera zake za Ujamaa, Chama kimoja CCM, zimeifanya TZ kuwa nyuma kimadeleo.

Ukiangalia hizo qualifications za kiongozi bora utaona jinsi Nyerere alivyofeli kabisa.

Eti "Emotional Intelligence-Groups EI", "Visionary", "Integrity"??? Duuh! Hayo maelezo uliyotoa yaani hayaendani kabisa na maana halisi ya dhana hizo za kiingereza na tena za kigeni. Mswahili bana akijifanya naye kaenda shule, inakuwa taabu tupu!
 
Eti "Emotional Intelligence-Groups EI", "Visionary", "Integrity"??? Duuh! Hayo maelezo uliyotoa yaani hayaendani kabisa na maana halisi ya dhana hizo za kiingereza na tena za kigeni. Mswahili bana akijifanya naye kaenda shule, inakuwa taabu tupu!

Toa definition uliyokuwa nayo. Na mimi nitakupa more information zaidi, ktk kila principles za leadership skills.
 
Toa definition uliyokuwa nayo. Na mimi nitakupa more information zaidi, ktk kila principles za leadership skills.

Hamna anayetaka somo na "Definitions" zako za "principles za leadership skills". Kwangu binafsi machache uliyonena yanatosha. Nenda kawa challenge vilaza wenzako madrassah.
 
Hamna anayetaka somo na "Definitions" zako za "principles za leadership skills". Kwangu binafsi machache uliyonena yanatosha. Nenda kawa challenge vilaza wenzako madrassah.

Woah!!!! Papa mbona jazba imepanda tena? Wengine tunajifunza mengi katika mjadala huu, na ambayo hatukuwa tunayajuwa.
 
aliwanyima watu wa pwani elimu, na kuwekeza sana arusha na kuitwa azimio la kuijenga arusha
ndugu hujui historia mamwinyi hawakutaka kusoma wala watoto wao kwenda shule, suala la elimu kwao lilikuwa ni utumwa na aibu kwa familia..
 
The Boss, please help me to understand when and why people are referred to as "Engineer...so and so".
I've heard and am aware of the titles or prefixes like Sir, Dr. Prof. Ambassador etc, but not engineer Ahamedinajad or Engineer Mark Mwandosya....What's gonna be next, Journalist Ulimwengu? Entomologist Kweka, Geologist Mbise, Sociologist Mkwasa, Hair Stylist Mwajuma, Barber Hassani or Accountant Hussein?????

where are you my dear? engineer is a sign of responsibility nothing else, bungeni iliishajadiliwa, mtu hawezi kusimamisha gorofa 100 inayobeba roho maelfu na asiitwe kwa titile yake..ni title ya responsibility na unatakiwa uitwe kisheria, kama haujasajiliwa na serikali ni illegal kujiita engineer so and so!!! na ni kosa kutojiita!!!1 ni sheria, najua utasema imeandikwa wapi, fuatilia sasa baada ya kukupa huu mwanga, siyo ujiko ni responsibility---kwa maana ya liability!
 
jamani hakuna jipya hapa; madai yote mawili yanayotolewa dhidi ya Nyerere hana ya ukweli:

a. Upande wa Pili wa Nyerere (mapungufu) yameandikwa kwa kirefu kuanzia miaka ya sitini. Hakuna kiongozi wa Tanzania aliyekosolewa na kubainishwa mapungufu yake ya kisera na kiuongozi kama Nyerere. None.

b. Nyerere hakufanya makosa; hakuna mtetezi yeyote wa Nyerere mwenye akili timamu ambaye amewahi kudai kuwa Nyerere hakufanya makosa. Hata yeye mwenyewe hakuwahi kudai kuwa hajakosea (ushahidi umewekwa hapa wa kutosha) na siyo leo tu, ndiye kiongozi pekee wa TAnzania aliyeandika kitu kinachoitwa "Tujisahihishe" wakati mwingine natamani niiweke hapa ili watu wajue kuwa Nyerere hakuwa na mashaka na kukosolewa wala kujikosoa as a leader!

So.. hizi myths za kuwa Nyerere hakupenda kukosolewa au Nyerere alitukuzwa sana hazina msingi katika historia.

Hapa mkuu you are dead wrong!!

Mimini mwalimu wa chipukizi, nikiwa iringa mwaka 1969-1976, kwa kifupi ninamfahamu Nyerere kwa kumuona, kumgusa, kukaa naye..Nyerere was something else, alikuwa anatisha yet alikuwa anapendwa

issue za ukimsema vibaya unaishia kubaya was not a myth was real........mkuu unapenda mno!!!!
 
Hapa mkuu you are dead wrong!!

Mimini mwalimu wa chipukizi, nikiwa iringa mwaka 1969-1976, kwa kifupi ninamfahamu Nyerere kwa kumuona, kumgusa, kukaa naye..Nyerere was something else, alikuwa anatisha yet alikuwa anapendwa

issue za ukimsema vibaya unaishia kubaya was not a myth was real........mkuu unapenda mno!!!!

sasa si tuna rahisi anayependwa na anayesikiliza sana tena ana sura nzuri kweli dr. so and so?; hatishi? are we happy?
 
1.jpg

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kundi kubwa la watu waliojipambanua kuwa wao ni wakosoaji wa Nyerere na hata baadhi yao wamethubutu kumwita dikteta ingawaje kwa miaka mingi Nyerere amekuwa akiheshimiwa sana miongoni mwa wananchi wa kawaida wa Tanzania.

Mara nyingi ukosoaji huwa umekuwa ukifanywa na vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na magazeti, blogs na wakati mwingine wanasiasa na watu binafsi mpaka sasa sitakosea nikisema ukosoaji dhidi ya Nyerere umekithiri kwa siku za karibuni.

Kwa bahati mbaya mimi nimezaliwa miaka ambayo Nyerere ameshastaafu ingawaje nilifanikiwa kusoma vitabu vyake na hata kumwona. Kupitia maandiko yake sijaona jambo baya lakini bado sishawishiki kuwa alikuwa anapatia kila kitu.

Hivyo ndugu wadau naomba kufahamu juu ya Nyerere, sihitaji sifa zake tu abadani sihitaji udhaifu wake pekee bali nahitaji kumfahamu Nyerere zaidi ya yale yaliyoandikwa vitabuni, nataka kumjua kiundani ili mwisho wa siku nifahamu je wanaompinga Nyerere wana hoja za msingi au wanatafuta umaarufu ama kutoka?

NAWASILISHA

Mdogo wangu, kama umesoma vitabu vya Nyerere na article zake zoote, lazima umjue, nenda soma kazi za wasomi na analysts mbali, watakuja na kukupa kila mtu view yake na utaona.

View za udikteta hazijasemwahapa tu JF, zimesemwa kila kona ya dunia hii, inategemea nani anasema, na kwa nini anasema. watu wasiopenda ujamaa, they will surely call you dictator because to implement socialism ypu need to be a dictator nothing else, china, warusi, cuba ni mifano mizuri

Kwa hiyo logically kama ujamaa ulifeli...Nyerere hakuwa dikteta! kama alikuwa dikteta basi hakuwa yule dikteta mzuri kwa hiyo alifeli katika udikteta wake!!! fikiri wewe

Personally nimewafuatilia sana hawa jamaa http://digital.films.com/play/V4PPVM ambao ukisoma wansema kabisa bila kuuma maneno kuwa Nyerere alikuwa diktator!!! wala hajawakopesha!!! nimewafuatilia nikagundua ni watu fulani walikosa mambo fulani, lakini wamesema.

Fuatilia mijadala ya Nyerere humu, ziko thread nyingi sana, sana

Kwa kifupi wakosoaji wa Nyerere wamegawanyika sehemu kubwa

1. wako ambao anaona ni sahihi kumkosoa mtu yeyote kwa nafasi yake-kwa makosa ambayo yanaendana na ufahamu wao, kwangu mimi hawa ni genuine criticiser
2. wako wanaomkosoa kwa sababu ya misingi ya dini yao ( na hawa wamelishwa sumu na wazazi wao au jamii wanayotoka)
3. wako wanaomkosoa Nyerere kwa sababu leo hii wameshindwa kufikia rank yake, ubora wake, na wameshindwa kuwaongoza watanzania leo hii na wanatupa mawe kwa Nyerere!

Sasa ni wakati gani utamjua yupi ni yupi ni ngumu!
kuwa unaweza kuwazuia ni ngumu!
kuwa unarusha thread kila siku kumpamba Nyerere ni ngumu!
Kuwa kila thread ya ubayawa Nyerere ikianza utetea ni ngumu!

kwani wakosaji hawa wengi hawako JF, wako makwao, wanakutana vilabuni na baa, wanakutana kwenye harusi....hawako humu tu!

Juzi nilikuwa na mzee mmoja wa miaka 70, akaelezea kwa nini ufisadi ulianza Tanzania, akarudi na kumkosoa sana Nyerere...sana, kuna siku ilirushwa thread hapa ya Nyerere kupunguza mshahara wake, nikaanza kuuliza wazee wawili watatu, ambao nao walikuwepo, nilikuwepo kwenye ile incident, lakini nikataka kuona wazee wale hasa walioiweka TANU na CCM moyoni wanasemaje...wote (4) walisema negative, mmoja (1) alisema positive, wakati yule mmoja aliyesema positive alisema kwa hisia kali kuliko wale wanne! u see!!

Kwa hiyo ni view za watu

I once said, HAKUNA MTU YEYOTE LEO HII, ALIYE HAI ambaye anaweza kumtetea Nyerere! hayupo wako lovers tu, lakini si watetezi!!

Nyerere atajitetea kwa kazi zake, zitasimama vizazi vyote vijavyo, wakati wengine wamekufa, yeye jina lake litakuwepo, miaka 300 kutoka sasa sura ya Nyerere itakuwa kwenye fedha (kama zitaendelea kutumika) na kipindi hicho vitukuu vya vitukuu vyetu vitaulizana " aka kababu ndio kanani kwenye fedha' WATAJIBIZANA NDIO BABA WA TAIFA LA TANZANIA!!!

Lakini atasemwa, atadhihakiwa, atatukanwa, atasifiwa, atapendwa, kwa sababu ni nyota ni kiongozi ndio gharama zake!!!! is natural is common!! leo hii washington kosa lake la kusema vi uongo uongo vingi, vinasemwa mpaka leo mpaka kesho.

Ukinipa nafasi ya kumkosoa Nyerere, nitamkosoa kwa siku nzima, ukinipa nafasi ya kumsifia Nyerere nitamsifia nusu siku!
 
sasa si tuna rahisi anayependwa na anayesikiliza sana tena ana sura nzuri kweli dr. so and so?; hatishi? are we happy?

Nafikiri bado assumptions zako ziko wrong! -unarudia rudia sana kosa hili soma post yangu ya juu!!

Haina maana nikimkosoa Nyerere basi nampenda Kikwete!!!!!!!!!!!!!! is not like that,

Niki-declare sehemu kuwa simpendi A kwa sababu nampenda B, ningesema hivyo nayo si dhambi-ila siyo akili!

Kwa hiyo wewe uko kwenye group zuri sana la mpenzi wa Nyerere , sina tatizo unampenda Nyerere kwa ule upendo wa dhati kabisa, ..ila usitupe au kutulazimisha wengine tuwapende wengine kwa sababu ya kuwa tunamsema vibaya Nyerere..naweza kuwa nampenda ila kivingine sana!!!

Said this I dont like Kikwete in many ways and I dont like Nyerere in many ways...to be fair, they all have weakness and strengths...Nyerere's quality of leadership ziko juu sana ya Kikwete (mawazo yangu)..happy now??? lakini hainizuii kumkosoa Nyerere...what??? sad now?

Review your assumptions au hypotheses!
 
nafikiri bado assumptions zako ziko wrong! -unarudia rudia sana kosa hili soma post yangu ya juu!!

Haina maana nikomkosa nyerere basi nampenda kikwete!!!!!!!!!!!!!! Is not like that,

niki-diclare sehemu kuwa simpendi a kwa sababu nampenda b, ningesema nayo si dhambi-ila siyo akili!

Kwa hiyo wewe ukokwenye group zuri sana la mpenzi wa nyerere , sina tatizo unampenda nyerere kwa ule upendo wa dhati kabisa, ..ila usitupe wengine tuwapende wengine kwa sababu ya kuwa tunamsema vibaya nyerere..naweza kuwa nampenda ila kivingine sana!!!

Review your assumptions au hypotheses!

ha ha haaaaa
i cant add a word here ..lol
 
Nafikiri bado assumptions zako ziko wrong! -unarudia rudia sana kosa hili soma post yangu ya juu!!

Haina maana nikimkosoa Nyerere basi nampenda Kikwete!!!!!!!!!!!!!! is not like that,

Niki-declare sehemu kuwa simpendi A kwa sababu nampenda B, ningesema hivyo nayo si dhambi-ila siyo akili!

Kwa hiyo wewe uko kwenye group zuri sana la mpenzi wa Nyerere , sina tatizo unampenda Nyerere kwa ule upendo wa dhati kabisa, ..ila usitupe au kutulazimisha wengine tuwapende wengine kwa sababu ya kuwa tunamsema vibaya Nyerere..naweza kuwa nampenda ila kivingine sana!!!

Said this I dont like Kikwete in many ways and I dont like Nyerere in many ways...to be fair, they all have weakness and strengths...Nyerere's quality of leadership ziko juu sana ya Kikwete (mawazo yangu)..happy now??? lakini hainizuii kumkosoa Nyerere...what??? sad now?

Review your assumptions au hypotheses!

ooh noo inabidi unisome vizuri; sijasema unampenda Kikwete; nimesema Kikwete si anapendwa na hatishi kama Nyerere (ambacho ni kipimo chako wewe kuwa alikuwa anatisha!). Sasa nimesema kama Nyerere kwa maelezo yako alikuwa anatisha na kupendwa kwa wakati mmoja alikuwa mbaya kwa sababu hiyo basi Kikwete lazima awe bora kwa sababu hatishi na anapendwa. Kikwete ana tabasamu zuri, haogopwi kama alivyokuwa anaogopwa Nyerere. Ndio swali, je tumefurahi na Kikwete asiyetisha na anayependwa?
 
ooh noo inabidi unisome vizuri; sijasema unampenda kikwete; nimesema kikwete si anapendwa na hatishi kama nyerere (ambacho ni kipimo chako wewe kuwa alikuwa anatisha!). Sasa nimesema kama nyerere kwa maelezo yako alikuwa anatisha na kupendwa kwa wakati mmoja alikuwa mbaya kwa sababu hiyo basi kikwete lazima awe bora kwa sababu hatishi na anapendwa. Kikwete ana tabasamu zuri, haogopwi kama alivyokuwa anaogopwa nyerere. Ndio swali, je tumefurahi na kikwete asiyetisha na anayependwa?

nafikiri wamasema two wrongs do not make it right lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom