Ukitaka kujua vizuri kwamba Nyerere alikuwa kiongozi wa aina gani, inabidi uangalie vitu kama Honesty, Integrity, Emotional Intelligence, na Visionary. Ktk hizo qualifications za leaderships Nyerere KAFELI zote hizo qualifications.
Honesty- Nyerere anasifiwa kwa propaganda zake kwa WTZ.
Integrity- Nyerere alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Alikuwa afuati sheria za nchi, kwa sababu alikuwa Dictator.
Emotional Intelligence-Groups EI- Ktk hili ndio kafeli kabisa. Alikuwa hataki kuheshimu mawazo ya wengine. Alikuwa mkali, mbabe, nk.
Visionary- Kafeli kuweka miundo mbinu ya nchi. Sera zake za Ujamaa, Chama kimoja CCM, zimeifanya TZ kuwa nyuma kimadeleo.
Ukiangalia hizo qualifications za kiongozi bora utaona jinsi Nyerere alivyofeli kabisa.
Honesty- Nyerere anasifiwa kwa propaganda zake kwa WTZ.
Integrity- Nyerere alikuwa anatumia madaraka yake vibaya. Alikuwa afuati sheria za nchi, kwa sababu alikuwa Dictator.
Emotional Intelligence-Groups EI- Ktk hili ndio kafeli kabisa. Alikuwa hataki kuheshimu mawazo ya wengine. Alikuwa mkali, mbabe, nk.
Visionary- Kafeli kuweka miundo mbinu ya nchi. Sera zake za Ujamaa, Chama kimoja CCM, zimeifanya TZ kuwa nyuma kimadeleo.
Ukiangalia hizo qualifications za kiongozi bora utaona jinsi Nyerere alivyofeli kabisa.