Wanachofanya AZAM TV kwenye mpira ni uhuni na utapeli, wadau amkeni

Akili gani sijui huwa mnazitumia watu kama ninyi.

Hayo malalamiko ndo yanaiboresha hiyo Azam. Na Azam yupo kwa ajili ya wateja ndio maana anawanyenyekea kwa kuwatengenezea bure baadhi ya maeneo.

Mentality kama yako hii ndio huzalisha machawa pro max, wao ni kusifia tu hata kitu kibaya.
Unawaza azam anaweza akawafurahisheni na kuwaridhisha wateja wake wote mamilioni nchini. Lazima mtakuwepo pimbi kama nyinyi msioona jema popote. Hamna shukrani kwa hata hicho anachofanya mtamsaidia nini kumboresha?
 
Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!

Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!

Uhuni/utapeli uko wapi?

Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..

Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!

Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!

Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.

Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS

Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
Mna muda aisee
 
Unawaza azam anaweza akawafurahisheni na kuwaridhisha wateja wake wote mamilioni nchini. Lazima mtakuwepo pimbi kama nyinyi msioona jema popote. Hamna shukrani kwa hata hicho anachofanya mtamsaidia nini kumboresha?
Akili za kichawa chawa hizi.
Mdau haridhiki na huduma na katoa malalamiko yake. Wewe ni bakhresa mpaka umsemee kua hawezi kuridhisha watu wote??

Shukrani ya wateja wake ni kuchagua kutumia huduma yake, we unataka akalambwe miguu ndo ujue mtu kashukuru. Yaani unalipia huduma badala ya yeye akushukuru wewe mteja eti wewe mteja umshukuru yeye.
UCHAWA PRO MAX.
 
Siku azam wakilogwa copyright ya kuonyesha NBC premiere L. Ikaingia dstv au kwingine kokote,basi hapo ndiyo nafunga nao mkataba rasmi kulipia kifurushi.
Sahau kabisa kampuni nyngn tofauti na azam kuja kuonyesha ligi ya Bongo, dstv walitaka kuonyesha ligi ila walisema wataonyesha mechi za simba na Yanga tuu wakafukuzwa kwa kuitiwa kelele za mwizi mchana kweupe na TFF. labla miaka 40 ijayo dstv wakijirekebisha ila kwa miaka ya hii hapa sahau hiyo kitu.
 
Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!

Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!

Uhuni/utapeli uko wapi?

Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..

Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!

Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!

Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.

Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS

Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
Kabla ya kuanza kuwashtuma azam jaribu kuuliza ili upewe taarifa. Kwa ufupi tuu n kwamba hujui chcht.
Azam wana jumla ya channels 9 ila za sports ni 3 ila pakiwa kuna mechi nyingi hua wanaonyesha kwenye hizo channels zake nyingine. Mambo ndivyo yalivyo mana sio mechi zote zitachezwa kwa wakati mmoja.
Swali langu kwako, unajua azam wanaonyesha EPL ya UK.? niambie wanaonyesha kwenye channel ipi.
 
KARIBU CANAL + UNAJICHAGULIA WEWE BIG MATCH YA KUANGALIA, AZAM NIMEWEKA KISIMBUZI CHAO KAMA PAMBO TU, LIGIKUU NAENDA KUTAZAMA KIBANDA UMIZA
 
Azam washukuru wanaonesha mechi za Ligi kuu ya Tanzania. Kinyume na hapo, wasingekula hata 100 yangu kudadek zao.
 
Kabla ya kuanza kuwashtuma azam jaribu kuuliza ili upewe taarifa. Kwa ufupi tuu n kwamba hujui chcht.
Azam wana jumla ya channels 9 ila za sports ni 3 ila pakiwa kuna mechi nyingi hua wanaonyesha kwenye hizo channels zake nyingine. Mambo ndivyo yalivyo mana sio mechi zote zitachezwa kwa wakati mmoja.
Swali langu kwako, unajua azam wanaonyesha EPL ya UK.? niambie wanaonyesha kwenye channel ipi.
Iyo EPL game Moja Kila weekend?
Kwenye UTV..
Ile ni game Moja Kila wiki ambayo hata bukedde tv unaona tu
 
Mtoa mada jiue
255744807081_status_45b0bba04bb54ee3970d4b594e8a7071.jpg
 
Sasa pointi yangu ndo kukuambia kuwa sio lazima channel iwe ya sport ndio waonyeshe mpira
Kuna tofauti media ikitangaza inaonyesha MECHI za ligi Fulani..
Na media ikisema inaonyesha LIGI ya nchi Fulani..
Rudia kusoma
 
Wabongo mnalalamika Sana aisee. Ile Ni biashara ya mtu, USIMPANGIE! ukiona wahuni simple tu, ingia dstv au startimes

Azam wamesaidia kwa mengi, na kwa kuwa hawawezi kumfurahisha kila mtu we potezea tu, achana nao eiza ingia hizo kampuni zingine au anzisha ya kwako mkuu uwe na channels Mia 9 kama unahisi ni rahisi

Elf 25 yake anataka kuwapangia cha kufanya ety waongeze chanel
 
Back
Top Bottom