Wadau wa mpira mbona hamzungumzi kuhusu kuhujumiwa kwa Azam Fc Kama mnavyowapigania mapacha wa kariaakoo wanapohujumiwa na marefalii?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,746
Hii ni kwa wachambuzi wote na wanaojiita wadau wa mpira na wanaopigania mpira wetu huu/ ligi yetu ipande thamani.

Wachambuzi wa clouds FM, EFM, WASAFI na media zingine mnaotanua midomo na kutoa sauti ya juu na kupiga kelele endapo timu za kariakoo (Simba na Yanga) zinapohujumiwa.

Mbona hamuongei Azam Fc inapohujumiwa? Mpo kimya kwa matukio niliyoyaona katika mchezo wa Azam Fc na Dodoma jiji laiti Kama hayo matukio yangetokea kwa mapacha wa karikoo kuanzia Redio mpaka mitandao ya kijamii ingealipuka kwa kulaumu Refalii pamoja TFF.

Mashabiki/wadau wangesema kuwa timu hiyo imetumwa na timu nyingine ili kuja kuwaumiza wenzao Tena wangesema wachezaji wamepewa pesa ili watuvunjie wachezaji wetu.

Hivi ni Nan atakae isemea Azam Fc na timu zingine kwa hujuma zinaoendelea viwanjani??

Hii ligi haiwezi kuwa Bora Kama timu nyingine zinahujumiwa na wadau wapo kimya tu wamejikita/wamepotezwa na siasa za Mapacha wa kariakoo.

Azam Fc wamehujumiwa/wamenyimwa goli wazi wazi katika mchezo wao dhidi ya Dodoma jiji.

Msisubiri Azam Fc wapoteze mechi muanze kuwakejeli Bali hata wanapohujumiwa mnapaswa kuwapigania pia wanapohujumiwa.

WADAU ACHENI KUANGALIA SIMBA NA YANGA TU BALI TAZAMENI NA TIMU NYINGINE KATIKA LIGI HII.
 
Upo sahihi mkuu,
Yan team nyingine zikihujumiwa ni ok tu ila sasa hawa wa kkoo wakinyimwa tu penalty wataandamana hadi ofisi za CCM kulalamikia waamuzi na TFF
Hatari sana mkuu halafu wanataka ligi ipande thamani kwa kuhusudu timu mbili tu.
 
Kila timu na washabiki wao wajitetee na kusema linalowasibu.Kuisemea timu isiyokuhusu ni kiherehere na mdomo unaweza kwenda upande.
 
Hii ni kwa wachambuzi wote na wanaojiita wadau wa mpira na wanaopigania mpira wetu huu/ ligi yetu ipande thamani.

Wachambuzi wa clouds FM, EFM, WASAFI na media zingine mnaotanua midomo na kutoa sauti ya juu na kupiga kelele endapo timu za kariakoo (Simba na Yanga) zinapohujumiwa.

Mbona hamuongei Azam Fc inapohujumiwa? Mpo kimya kwa matukio niliyoyaona katika mchezo wa Azam Fc na Dodoma jiji laiti Kama hayo matukio yangetokea kwa mapacha wa karikoo kuanzia Redio mpaka mitandao ya kijamii ingealipuka kwa kulaumu Refalii pamoja TFF.

Mashabiki/wadau wangesema kuwa timu hiyo imetumwa na timu nyingine ili kuja kuwaumiza wenzao Tena wangesema wachezaji wamepewa pesa ili watuvunjie wachezaji wetu.

Hivi ni Nan atakae isemea Azam Fc na timu zingine kwa hujuma zinaoendelea viwanjani??

Hii ligi haiwezi kuwa Bora Kama timu nyingine zinahujumiwa na wadau wapo kimya tu wamejikita/wamepotezwa na siasa za Mapacha wa kariakoo.

Azam Fc wamehujumiwa/wamenyimwa goli wazi wazi katika mchezo wao dhidi ya Dodoma jiji.

Msisubiri Azam Fc wapoteze mechi muanze kuwakejeli Bali hata wanapohujumiwa mnapaswa kuwapigania pia wanapohujumiwa.

WADAU ACHENI KUANGALIA SIMBA NA YANGA TU BALI TAZAMENI NA TIMU NYINGINE KATIKA LIGI HII.
Swala la goli walilonyimwa Azam lilitolewa ufafanuzi kuwa lilikuwa goli halali, linalosubiriwa ni hatua za kimamlaka.
 
Azam hatoi Pesa kwenye Media,pia sababu nyingine ni watu wengi kutoangalia michezo inayoihusu Azam...... asilimia kubwa Tz soka letu,wengi wanaangalia mechi zinazohusu mapacha, ndiyo maana makelele hata kwenye social media yanakuwa mengi sana cos wengi wanakuwa wameona........ Pia wengi wanaosikiliza wako interested na story za udaku udaku zinazohusu mapacha......hujiulizi kila siku mijadala ni ya mapacha tu
 
Azam hatoi Pesa kwenye Media,pia sababu nyingine ni watu wengi kutoangalia michezo inayoihusu Azam...... asilimia kubwa Tz soka letu,wengi wanaangalia mechi zinazohusu mapacha, ndiyo maana makelele hata kwenye social media yanakuwa mengi sana cos wengi wanakuwa wameona........ Pia wengi wanaosikiliza wako interested na story za udaku udaku zinazohusu mapacha......hujiulizi kila siku mijadala ni ya mapacha tu
NAKAZIA UPO SAHIHI MKUU.
 
Azam nayo ni timu?
Azam ni offside
1696653544920.jpg
 
Back
Top Bottom