Wana Gangilonga mpo?

Asante... Mm nitakuwa Dar na ninapoiandika Post hii napita Iringa nikitokea Mbeya... Iringa nitakuwepo early Feb.nita-ku-PM....
 
Dah! Mmenikumbusha John Mikate (RIP), Mgiriki wa Kihehealikuwa mtu mzuri sana. Mara ya mwisho tulikutana naye mwaka 1995 tukapiga sanabia kwenye Pub ya Husna Mtasiwa (sijui naye yuko wapi?). Halafu mnakumbukaenzi hizo mikate tulikuwa tunanunua ya moto directly toka jikoni, sio siku hizi mkateumepikwa jana mnakula leo.
Husna bado ana run bar.
 
Vijana wote ndani ya JF mliopitia Gangillonga "JIWE LINALOSEMA" au ILIGANGA LILONGA (Kwa Kihehe) mmenifurahisha sana kwa jinsi mlivyonikumbusha kuhusu Shule hiyo iliyokuwa imetukuka.Mimi nilitoka pale 1973 wakati Mwalimu Mkuu akiwa Mr.Luhanga,huyo Mwalimu Mndeme (kama ndiye huyo) ndiyo kwanza alikuwa amekuja kuanza kufundisha baaada ya mafunzo yake ya Ualimu. siku kadhaa zilizopita nikiwa kwenye hamsini zangu nilipita hapo Gagilonga ili angalau niione shule iko katika hali gani, kwa kweli inasikitisha utadhani labda ni pango la SIMBLISI.Mandhari nzuri na majengo yaliyokuwa na hadhi, Maabara na Ukumbi mkubwa, maua na Miti mirefu na mizuri yenye maua ya kuvutia vyote hivyo vimetoweka.

Kwa kuwa ninyi vijana mmechangamka kuhusu shule yetu hiyo pendwa na ninaamini mtakuwa katika nafasi nzuri za kuweza kuanzisha wazo la jinsi gani ya kusaidia kuboresha shule hiyo kama moja ya jukumu letu kwa nchi yetu.Leteni wazo hilo hapa JF then tufanye utaratibu wa kuona tutafanya nini kwa ajili ya GANGILONGA yetu pendwa.Serikali yetu ipo usingizi wa PONO sitarajii hata siku moja Manispaa ya Iringa wataweza kuirejesha hali ya Shule angalau kwa 25% only.
 
Martha alisoma lugalo sec,ni mzima yupo dar

Mimi sikusoma Gangilonga lakini Kuna mwingine nilikutana naye 1976 hapo Iringa kwenye halaiki anaitwa Upendo Mawelle ana heshima mtaratibu mweupe mzuri sana alikuwa Gangilonga naye sijui yuko wapi?
 
Mimi sikusoma Gangilonga lakini Kuna mwingine nilikutana naye 1976 hapo Iringa kwenye halaiki anaitwa Upendo Mawelle ana heshima mtaratibu mweupe mzuri sana alikuwa Gangilonga naye sijui yuko wapi?
Upendo ndo mkubwa kwao,Ni Dr wa mifugo mara ya mwisho (zamani kidogo) alikuwa nadhani mwanza.Yule dada ni mpole sana.
 
Vijana wote ndani ya JF mliopitia Gangillonga "JIWE LINALOSEMA" au ILIGANGA LILONGA (Kwa Kihehe) mmenifurahisha sana kwa jinsi mlivyonikumbusha kuhusu Shule hiyo iliyokuwa imetukuka.Mimi nilitoka pale 1973 wakati Mwalimu Mkuu akiwa Mr.Luhanga,huyo Mwalimu Mndeme (kama ndiye huyo) ndiyo kwanza alikuwa amekuja kuanza kufundisha baaada ya mafunzo yake ya Ualimu. siku kadhaa zilizopita nikiwa kwenye hamsini zangu nilipita hapo Gagilonga ili angalau niione shule iko katika hali gani, kwa kweli inasikitisha utadhani labda ni pango la SIMBLISI.Mandhari nzuri na majengo yaliyokuwa na hadhi, Maabara na Ukumbi mkubwa, maua na Miti mirefu na mizuri yenye maua ya kuvutia vyote hivyo vimetoweka.

Kwa kuwa ninyi vijana mmechangamka kuhusu shule yetu hiyo pendwa na ninaamini mtakuwa katika nafasi nzuri za kuweza kuanzisha wazo la jinsi gani ya kusaidia kuboresha shule hiyo kama moja ya jukumu letu kwa nchi yetu.Leteni wazo hilo hapa JF then tufanye utaratibu wa kuona tutafanya nini kwa ajili ya GANGILONGA yetu pendwa.Serikali yetu ipo usingizi wa PONO sitarajii hata siku moja Manispaa ya Iringa wataweza kuirejesha hali ya Shule angalau kwa 25% only.
Mkuu unacho ongea ni kwali mi nilikuwa sijafika iringa miaka 20 nilenda mwanzoni wa mwaka Jana.nilisikitika sana.shule. hiyo wakati wa mwalimu mdeme ukivunja kioo unasimamishwa while.kama ulivyo sema kulikuwa na lab.tulip SOMA tujaribu kuanzisha jumuiya kama sentinel tuisaidie while.
 
Mimi nilikuwa nakaa jirani na ilipo kwa sasa Mama Siyovelwa Pub,Jirani na nyumba ya zamani ya Marwaha RIP,Kabla ya kukaa hapo tulikaa kwenye ile iliyokuwa Iringa Hotel kwa miezi 10 1984-1985... Meneja wake aliitwa Masanja alikuwa na kesi ya Ubadhirifu na Mkewe alikuwa na kesi ya Mauaji ya Mtoto wa
Dada aliyezaa na Masanja hii ilikuwa 1986...sijui Fate yao kwa wale waliokuwa wanakaa Kota za Railways Gangilonga watakuwa wanawajua... Familia ya Masanja... Masanja alikuwa mtu ambaye enzi hizi waweza kusema alikuwa MLA BATA... Nilisikitika sana kwa yaliyoitokea Familia hiyo...
nasikitika sana nawafahamu watoto wake Johanes na wadogo zake nilikuwa naenda kwa kina Regina kula embe mbichi. Hivi kesi ziliishaje? Ilisikitisha sana
 
Mimi sikusoma Gangilonga lakini Kuna mwingine nilikutana naye 1976 hapo Iringa kwenye halaiki anaitwa Upendo Mawelle ana heshima mtaratibu mweupe mzuri sana alikuwa Gangilonga naye sijui yuko wapi?
Ni kweli Upendo alikuwa mpole sana, alitupokea form one lugalo akiwa form four, kama ulicheza halaiki basi inawezekana ulikuwa nae na kina Folo Mtasiwa. Upendo alifaulu na kwenda high school sikumbuki jina then na mie nilipomaliza Lugalo niliondoka Iringa.
Niliishi jirani na chuo cha afya wakati huo na wadogo zangu watatu wamesoma Gangilonga, mmoja nimeona Tusker baridi kamtaja hapo juu. Ni muda mrefu sijaenda hapo nimefurahi sana kusikia stori na kupata updates za hapo.
 
Mimi nilikuwa nakaa jirani na ilipo kwa sasa Mama Siyovelwa Pub,Jirani na nyumba ya zamani ya Marwaha RIP,Kabla ya kukaa hapo tulikaa kwenye ile iliyokuwa Iringa Hotel kwa miezi 10 1984-1985... Meneja wake aliitwa Masanja alikuwa na kesi ya Ubadhirifu na Mkewe alikuwa na kesi ya Mauaji ya Mtoto wa
Dada aliyezaa na Masanja hii ilikuwa 1986...sijui Fate yao kwa wale waliokuwa wanakaa Kota za Railways Gangilonga watakuwa wanawajua... Familia ya Masanja... Masanja alikuwa mtu ambaye enzi hizi waweza kusema alikuwa MLA BATA... Nilisikitika sana kwa yaliyoitokea Familia hiyo...
Masanja alikuwa muhasibu wa iringa hotel .
 
Na wale wa WILOLESI enzi ya mwl. Kajiba, na mwl. Mapunda dah walikuwa wanapiga stiki balaa. Ila kama ulisoma gangilonga, wilolesi, chemchem basi we wakishua lazima!

Na ilala shule ya msingi jamani na yenyewe ilikua inawika, nakumbuka enzi zile jamani kiongozi kama raisi akija iringa wanafunzi wote tunaandama tunatembra kutoka mashuleni mwetu hadi uwanja Samora. Aaah mi sio mhehe lakini naipenda sana Iringa it has all my childhood memories
 
Enzi ya mr. Mlimbila alikuwa mshkaji ila anagonga stiki balaa, mwl mfilinge na mama mwakajila, mwl Hassan a.k.a mbaku! Wapi kina David mwakalalile, Glory Tesha, Damian Masasi, Amon Rutihinda!
 
Hivi Venance mwangungulu wapi yupo? James kambofi, imani saimon a.k.a mzungu mwitu, kota za pareto kule mkimbizi na za chuo cha benki nimekaa kule dah! Wazee kweli ni raha kuwa mwana-jf.
 
Abdul masoli, daudi mwano, kina dorah ulaya walikuwa wanakaa opposite na lutheran centre hostel! Kina raiya wale wasomali pale! Mnakumbuka marehemu dr. Kalinga na ile mbwembwe ya karne? Alinawa soda akanywa bia kwenye party ya kuaga umasikini. Lol!
 
nasikitika sana nawafahamu watoto wake Johanes na wadogo zake nilikuwa naenda kwa kina Regina kula embe mbichi. Hivi kesi ziliishaje? Ilisikitisha sana

Mtanzania1 naomba uni-PM no.yake kama unayo au kama yupo Iringa niwatafute watoto wake Baba yao alitupa SHANGWE SANA... Mwaka 86 nilipopata taarifa nilisikitika saaaana... Fikiria Baba yupo Jela,Mama yupo Jela... yaaani
 
Ni inawezekana ulikuwa nae na kina Folo Mtasiwa.

Umenikumbusha kiongozi shupavu kamanda wa gwaride la chipukizi Mtasiwa.Alivutia watu wengi sana nakumbuka Afande Moses NNAUYE alitaka Mtasiwa afikiriwe cha kumzawadia hata Nyerere alionyesha kufurahiwa sana na Uwezo wa Mtasiwa alipoona gwaride lile na kijana akiliongoza kwa ukakamavu wa ajabu.SIJUI walimfikiria au walimchukua.Ukweli Mtasiwa alikuwa na uwezo wa Gwaride si mchezo.Umenikumbusha mbali.Sijui sasa hata yuko wapi kamanda wa chipukizi wetu.
 
Umenikumbusha kiongozi shupavu kamanda wa gwaride la chipukizi Mtasiwa.Alivutia watu wengi sana nakumbuka Afande Moses NNAUYE alitaka Mtasiwa afikiriwe cha kumzawadia hata Nyerere alionyesha kufurahiwa sana na Uwezo wa Mtasiwa alipoona gwaride lile na kijana akiliongoza kwa ukakamavu wa ajabu.SIJUI walimfikiria au walimchukua.Ukweli Mtasiwa alikuwa na uwezo wa Gwaride si mchezo.Umenikumbusha mbali.Sijui sasa hata yuko wapi kamanda wa chipukizi wetu.
Folo alianza kuvuta bangi sana akiwa sec school.Akaja kuchanganyikiwa,kichaa chake kilikuwa kina kuja nakuondoka.Na alisha fariki.
Kaka yake ni Mr Mtasiwa,Mganga mkuu wa serikali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom