Wana Gangilonga mpo?

Gangilonga imebalika sana,wamekata miti.Vumbi mtindo moja.
Tukumbushane highlands pia.Mnakumbuka karani mnoko Hamisi Aka mwalimu hamisi?

Huu uzi umenikunbusha mbali sana. Huyo Hamis nilikutana nae mwaka jana hapa Dar akasema bado yupo Highlands.
Nilikuwa Iringa mwaka 2011 imebadilika sana. Nilisoma Mlandege Primary enzi za mwalimu Malipa na kuishi Mjimwema then Highlands 1986 mpk 1989, headmaster akiwa Choudhry na niliishi mitaa ya sabasaba karibu na hotel ya Thako hawa watengeneza mafuta ya alizeti. Kwa ujumla Iringa imebadilika sana.
 
mm wa gangilonga. Mdogo mm cwajui hao. ila gangilonga kwa vigogo cmnajua tena. umeme haukatiki. ulaya hata at
 
Kwenye huu uzi nimejifunza kitu. WaTanzania wengi tunakumbukumbu nzuri za shule zetu lakini wachache tunadiriki kurudi na kusaidia shule zetu.

Tubadilike. Tuzipende hizi shule ambazo ndo zilitujengea msingi wa maisha tuliyonayo leo.
 
Kwenye huu uzi nimejifunza kitu. WaTanzania wengi tunakumbukumbu nzuri za shule zetu lakini wachache tunadiriki kurudi na kusaidia shule zetu.

Tubadilike. Tuzipende hizi shule ambazo ndo zilitujengea msingi wa maisha tuliyonayo leo.
Umesema ukweli mtupu
 
Huu uzi umenikunbusha mbali sana. Huyo Hamis nilikutana nae mwaka jana hapa Dar akasema bado yupo Highlands.
Nilikuwa Iringa mwaka 2011 imebadilika sana. Nilisoma Mlandege Primary enzi za mwalimu Malipa na kuishi Mjimwema then Highlands 1986 mpk 1989, headmaster akiwa Choudhry na niliishi mitaa ya sabasaba karibu na hotel ya Thako hawa watengeneza mafuta ya alizeti. Kwa ujumla Iringa imebadilika sana.
Nilikutangulia mwaka mmoja mlandege nilimaliza 1984 enzi za MALIPA, kulikuwa na mwalimu enzi hizo anaitwa MAWABU sababu alikosea kuandika MAWABU badala ya MAJAWABU. Nikaingia Highland 1985-1988.
 
Wapendwa Februari hii 2020 tumempoteza Dada aitwaye Rhoda Ndabagoye aka Mamhando LY 1988 ni mdogo wake Katuye Ndabagoye LY 1986 na Dada kwa Ndolele Johnson Ndabagoye (RIP) aliyekuwa EBONY FM. RIP Rhoda
 
Kumbe tumesoma shule moja,Mwalimu wangu Mkuu alikuwa Mwalimu Baranken,badaye akajakuwa Mwalimu Hassani toka 1983-1990
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom