princeamos
Member
- Feb 24, 2012
- 52
- 1
Mi naona hata viongozi wa sasa wanao vurunda wachapwe viboko sana ili wengine wasirudie makosa amasivyo
Ulikuwa KJ gani, CO wako alikuwa nani na Ulikuwa Operesheni gani?Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Mbona Lowassa alipita JKT na bado Mwizi mkubwa, Mbona JK nae nasikia alikua Kanali , bado hana uzalendo wowote, Kama Tunataka kusonga mbele kama Taifa imara lazima tujifunze kusimamia sheria bila kuoneana aibu.Nasikiaga hiyo JKT inaongezaga uzalendo eti. Hili huwa lina ukweli wajameni???
Zakumi,
Nilikuwa huko mwezi uliopita. Kinachonipa hofu ni huu mfumuko wa maghorofa il hali sewage system yetu ikiwa taabani. Pitia pale Mikocheni karibu na ma apartments yanayomilikiwa na Mwinyi junior kuna harufu mbaya sana ya sewage. That's all.
-Kassim Hanga
-Sheikh Othman Sharif
-Dk. Kleruu
-Many of the villagization process victims where the bulk of this accusation is stemming from.Nyerere may not have killed a significant number of people directly, but his policies and mediocrity resulted in the deaths of so many, probably in the million range if not hundred of thousands. We may never know for sure the exact figure due to the nature of the secrecy of the era.
See Pratt, Cranford (1999). "Julius Nyerere: Reflections on the Legacy of his Socialism". Canadian Journal of African Studies 33 (1): 137 52. doi:10.2307/486390
SITTA ni mnafiki sana naomba kuwasilisha kwamba huyu jamaa alipigwa viboko Ikulu na Nyerere kwa fitna zake ndio maana alikuwa kwenye political wilderness for a long time. If it was not for BWM kumuweka TIC he would have been a has been long time ago. Asilete za kuleta KAMA ANABISHA ALETE HOJA DATA TUNAZO! Habari hiyo naiwakilisha JF mtafakari!!! Opportunistic people hawatakiwi TZ
Masatu punguza ushabiki kwa Mkapa ndugu yangu. Mkapa kaingia madarakani December 1995, wakati huo JKT kwa mujibu wa sheria hawakuwa wanaenda tena.
Nadhani intake ya mwisho iliyotumikia mwaka mzima ilikuwa ni 1992, baada ya hapo wakabadilisha mfumo wakasema sasa itakuwa miezi 6 badala ya mwaka mzima. Zilienda intake 2 au 3 za miezi sita sita na baada ya hapo hakuna intake yoyote iliyoenda.
Mwaka 1994 kulikuwa na tetesi kwamba mfumo wa mwaka mzima, lakini haikuwa hivyo na badala yake hawakwenda kabisa. Waliomaliza vyuo vya ngazi ya cheti na waliomaliza Form 6 baada ya mwaka 1994 hakuna aliyekwenda JKT kwa mujibu wa sheria.
Kwa hiyo utawala wa Mkapa (Dec 1995 - Dec 2005) hakukuwa na intake hata moja ya JKT. Labda kama unaongelea JKT ya kujitolea, lakini siyo ya mujibu wa sheria.
Kama ulienda JKT enzi za utawala wa Mkapa ilikuwa ni mwaka gani (specific year) siyo useme in 1990s, which is a general statement ili kutudanganya. Hata Mwinyi alikuwa madarakani mpaka 1990s, wewe unaongelea 1990s ya lini?
Wewe huwa unapenda watu waje facts, ninaomba niku-challenge uje na facts, sema ni mwaka gani ulienda, ulikuwa operation gani na ulikuwa kambi gani?
Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Ulikuwa KJ gani, CO wako alikuwa nani na Ulikuwa Operesheni gani?
JKT ilikufa 1993. Huu ulikuwa utawala wa nani?
..binafsi nadhani hiki kilikuwa kitendo cha aibu kwa Mwalimu kuwachapa viboko wanafunzi wa Chuo Kikuu.
..Mwalimu mwenyewe aliwahi kutuasu kwa ile kauli yake ya "nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu."
..sasa hapa naona Mwalimu got his way kwa kutumia viboko na siyo hoja.
Dr. Hussein Mwinyi anamiliki apartments ambazo ni adjacent na nyumba yetu ya Msasani. Hakuna harufu yoyote. Au maana Mwinyi jr. yupi?
Makosa ya Mwalimu ni kwamba aliondoka madarakani bila ya kutengeneza Taasisi Imara na Huru kimfumo ambazo zingetusaidia kuwadhibiti watawala wahuni na wezi ambao wamejaa ktk utawala wa sasa.
Rejea vizuri historia yako. Mwinyi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1985 - 1995. Mkapa akawa rais kwa kipindi cha 1995-2005 na Kikwete alianza 2005 - nk.
Kwa suala la kifo cha JKT ni kuwa kilikufa June 1994 (kipindi ambacho rais akiwa Mwinyi). Kabla ya kifo chake kilitangulia vipindi viwili vya miezi sita sita (hapo kabla JKT ilikuwa ya mwaka moja moja). Ninakumbuka opereshini ya miezi sita (Juni - Desemba 1993) iliitwa opereshini miezi sita na Januari - Juni 1994 ilikuwa na jina la opereshini Oljoro (nasikia kuwa viongozi wa jeshi walifanya kikao cha kumpindua Mwinyi hapo - mpango ambao waliuacha).
Hapana. Mark Bomani hakuwemo. Wakati huo tayari alikuwa Attorney General.
Namfahamu mmoja tu, marehemu Mwabulambo. JKT iliuliwa enzi za Mwinyi.
nA KWAKUKAZIA NI KWAMBA MWAKA 1994 mwezi June Nikiwa na Form yangu ya kujiunga JKT kambi ya Chitah Kule Ifakara , waziri wa Elimu , kama nakumbuka Charles Kabeho baada ya kupokea maagizo ya Ikulu ya Mwinyi akatutamgazia Umma kuwa JKT haitakuwepo katika mwaka huo kwahiyo Form six tuliokua tunajiandaa kwenda tukazuiwa, ILIKUA FURAHA SANA, KWAKUA UJINGA ULE SIKUUTAKA KABISA.