Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Picha wanazopost wanaosimamia mitandao ya kijamii ya CCM zimejaa sura za wanafunza tena baadhi ya wanafunzi wakiwa na uniform siku za shule; Mfano picha za Mtwara na leo picha za Tanga zimejaa suraza wanafunzi. Kwanini wasiwapige picha watu wazima?
Fanyeni maboresho vinginevyo tafuteni wapiga picha wenye uwezo wa kufanya analysis ya picha na videos kuondoa mambo yenye madhara kisiasa na yanayoshusha trust na popularity.
Fanyeni maboresho vinginevyo tafuteni wapiga picha wenye uwezo wa kufanya analysis ya picha na videos kuondoa mambo yenye madhara kisiasa na yanayoshusha trust na popularity.