acha uzushi wewe! Umepewa taarifa hizo na nan?kijana iko hivi waliomba ualimu division 3 wametosheleza mahitaji ya wizara,mwanzo wizara ilihisi haitapata division 3
acha uzushi wewe! Umepewa taarifa hizo na nan?kijana iko hivi waliomba ualimu division 3 wametosheleza mahitaji ya wizara,mwanzo wizara ilihisi haitapata division 3
acha uzushi wew, unafanya kaz wizarani? Sema unachokijua na unauhakika nacho!ni kweli division 4 walio private hawatapata ajira ya serikali
na mimi kama wewe npo gizani prince avarumi
jamani nimesikia yametoka kuna ukwel? na ntayapata kwa kutumia website gan? please
yametoka ila website yao ipo down Suspended Domain