Asante mungu nimechaguliwa nachingwea,jamani matokeo ninayo ila nashindwa kuyatoa kwenye pdf kama hamtojali nipost hivyo hivyo au taja jina nikuangalizie!
Naomba kuuliza kama wizara imeshatangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya cheti ualimu daraja IIIA ,kwani niliomba.mwenye taarifa naomba anijuze tafadhari
utakaa xana..mdogo wang mwenyewe kaixha enda xhambaaa analima xo jipange?wk kexho labda
hyo inachoshaBado na haielewek ln yanatoka
utakaa xana..mdogo wang mwenyewe kaixha enda xhambaaa analima xo jipange?wk kexho labda
Naombeni msaada wenu je majina ya waliochaguliwa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada yameshatoka na kama bado yanaweza toka ln? Msaada wenu tafadhali...
hata mimi pia ni mmoja wa waombaji, mm bado sjapata taarifa mpaka mda huu ila ukipata taarifa kuhusu waliochaguliwa ualimu stashahada 2014/2015 nijulishe.