Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

Status
Not open for further replies.
Hivi ni kwel yanaweza kutoka mwezi wa tisa?
Na kama kuna mtu anajua chuo chochote cha private kilichopo DAR chenye unafuu wa ada anijulishe, maana hawa MOE sijui watatoa majina lini
www.moe.go.tz
 
tuvute subila..... hata hivyo mpango uliopo sasa ni kwamba , watakaochukuliwa ni waliopata 1 , 2 na 3 basi
mimi mwanangu nimeamua kumpeleka private, na taarifa hizi nimezitoa huko.................wizara tayari nimewatarifu wakuu wa vyuo vya ualimu , tena kuwa isichukue wale wa four ya zamani au four sasa.
 
habari za kuaminika,division 4 hawatachaguliwa,hakuna cha bridging course,inservice teachers wa primary wamepata fursa ya kusoma diploma ambayo itawasaidia kujiunga na degree na kwendelea,
 
Poleni sana mnaosubiri majina ya wanafunzi watakaojiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti 2014/15 tetesi ni kwamba president JK akiwa peramiho songea kwenye uzinduzi wa barabara moja ya hotuba yake kwa wananchi wa peramiho ni- namnukuu, Bajeti ya 2014/15 chini ya mpango wa matokeo makubwa sasa BRN wizara ya elimu imeamua kuwa kuanzia 2016 shule za msingi zitafundishwa na walimu walio na shahada ya Education ili kupata walimu wenye weledi na taaluma ya ufundishaji. Shukran kwenu wakuu!
 
Poleni sana mnaosubiri majina ya wanafunzi watakaojiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti 2014/15 tetesi ni kwamba president JK akiwa peramiho songea kwenye uzinduzi wa barabara moja ya hotuba yake kwa wananchi wa peramiho ni- namnukuu, Bajeti ya 2014/15 chini ya mpango wa matokeo makubwa sasa BRN wizara ya elimu imeamua kuwa kuanzia 2016 shule za msingi zitafundishwa na walimu walio na shahada ya Education ili kupata walimu wenye weledi na taaluma ya ufundishaji. Shukran kwenu wakuu!
Hakuna kitu kama hicho! Mbona vyuo vya private wanachukua waliopata div1 mpaka div4.34?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom