Nahitaji kufahamu vigezo vya kujiunga na mafunzo ya ualimu kwa ngazi ya cheti na stashahada

DENAMWE

JF-Expert Member
Dec 29, 2019
807
805
Habari za jioni wadau?
Naomba kufahamu vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti (astashahada) na ngazi ya stashahada (Diploma).

Je vyuo vinafunguliwa lini?
 
Mwaka huu option ya ualimu ngazi ya cheti na diploma ni kwa wanafunzi waliosoma sayansi tu
 
Habari za jioni wadau?
Naomba kufahamu vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti (astashahada) na ngazi ya stashahada (Diploma).

Je vyuo vinafunguliwa lini?
Kwanza uwe umefeli form 4, vingine vinafuata
 
Habari za jioni wadau?
Naomba kufahamu vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti (astashahada) na ngazi ya stashahada (Diploma).

Je vyuo vinafunguliwa lini?
nenda website ya wizara ya elimu au vyuo husika kaangalie watakuwa wameainisha.
 
Habari za jioni wadau?
Naomba kufahamu vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti (astashahada) na ngazi ya stashahada (Diploma).

Je vyuo vinafunguliwa lini?
Kwa mimi navyofahamu ni lazima:

1. Uwe na Division 1 hadi division 3 ya 25 zaidi ya hapo huwezi ku apply

2. Ufaulu kwa masomo ni D. Mfano kama unaenda kusoma PHYSICS AND CHEMISTRY (PCE) ni lazima uwe na DD kwa masomo yote tajwa.
 
Certificate kozi inatolewa chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT), ni kozi ya mwaka mmoja na unasoma kupitia zoom lectures, ni elimu ngumu kidogo kutokana na mazoea, elimu inayotolewa ni certificate in early childhood education, sifa ni 4Ds yaani D ziwe 4, ada yao ni 720,000/= kama sikosei
 
Diploma kwa aliyetoka kidato cha nne ni kozi ya miaka mitatu na uwe na ufaulu kuanzia div 1-div 3, zaidi Tembelea website ya vyuo mfano Butimba Teacher's college,Monduli Tc,Morogoro Tc,Bustani Tc nk
 
Certificate kozi inatolewa chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT), ni kozi ya mwaka mmoja na unasoma kupitia zoom lectures, ni elimu ngumu kidogo kutokana na mazoea, elimu inayotolewa ni certificate in early childhood education, sifa ni 4Ds yaani D ziwe 4, ada yao ni 720,000/= kama sikosei
Nakushukuru sana kwa maarifa haya.
 
Diploma kwa aliyetoka kidato cha nne ni kozi ya miaka mitatu na uwe na ufaulu kuanzia div 1-div 3, zaidi Tembelea website ya vyuo mfano Butimba Teacher's college,Monduli Tc,Morogoro Tc,Bustani Tc nk
Asante sana.
 
Back
Top Bottom