Acha utahila apa sio Facebook tumia akili ulimbukeni utakuponza afu naona umevamia jamiiforum hunijui wewe tena Kaa Kwa adabu.
Comment kwa adabu unapomuelewesha mtu lkn kwa kutumia ubabe sidhani kama ni njia sahihi. Matapeli tunajua wapo lkn mueleweshe mtu taratibu ndugu, pia huu ni mtandao wa wasomi matusi ya nn kama huna shule?

Bad enough unanitishia kwani natumia pesa yako ya bando?
Mbona umelivalia njuga suala hili au ww ndio tapeli mwenyewe?

Watu walioliona tangazo wamenyamaza ila kwako linawasha sio?
Mm sio wa kwanza kuweka mawasiliano yangu hapa so, kama halikuhusu pita hivi eeh.
 
Back
Top Bottom