Wandugu habarini na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku.

Tafadhalini, mwalimu ambaye yuko DSM idara ya ELIMU sekondari anayehitaji kuhamia BUKOBA MANISPAA tupeane taarifa.
 
Tangazo kutoka kwa mdogo wangu

Natafuta MWL Wa kubadilishana naye kituo cha kazi, aje halmashauri ya Wilaya Muleba nami niende kati ya Wilaya ya Kibondo au Kakonko mkoa Wa Kigoma. Kama uko tayari wasiliana nami na kama una ndg anahitaji kufanya hivyo mtalifu.
Wasiliana nami kwa namba 0713914633
 
Tangazo kutoka kwa mdogo wangu

Natafuta MWL Wa kubadilishana naye kituo cha kazi, aje halmashauri ya Wilaya Muleba nami niende kati ya Wilaya ya Kibondo au Kakonko mkoa Wa Kigoma. Kama uko tayari wasiliana nami na kama una ndg anahitaji kufanya hivyo mtalifu.
Wasiliana nami kwa namba 0713914633
Secondary au primary
 
Back
Top Bottom