Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 524
- 525
Tafadhali jaribuni kuwasiliana na bodi ya mikopo +255222669036 piga mara nyingi pia hata kama huna fedha ya kulipia nusu ada, yaani unategemea heslb, fika kesho main campus angalau upate tamko toka kwa Rugaimukamu admissions officer kama heslb hawatakuwa wametoa majina.