Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,078
Kada ya Ualimu ina shida mahali.Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.