Bora upelekeshwe zaidi.Sasa hapo unakimbizwa na nani?Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule ana wachukulia walimu wake kama watoto..kufika kzn ni saa 1 kamili. kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali baraa kuwaandikisha baraua Kila wakati
Thed weld dwellers bana.Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule ana wachukulia walimu wake kama watoto..kufika kzn ni saa 1 kamili. kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali baraa kuwaandikisha baraua Kila wakati
Mtafutieni bonge la zengwe na yeye mumtese mpaka aombe msamaha ndotoniYaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule ana wachukulia walimu wake kama watoto..kufika kzn ni saa 1 kamili. kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali baraa kuwaandikisha baraua Kila wakati
Nilishuhudia mkoa flani (miaka ya nyuma), mwalimu mmoja kijana alitembea na mwanafunzi wa kike, headmaster alimuamuru alale chini na kisha akamtandika fimbo sita matakoni!Walimu wakuu wa namna hiyo hawajakutana na na walimu wanaojitambua. Hao walimu wanaoburuzwa hivyo na mkuu wao hawajitambui ni kama misukule, watamuogopaje muajiriwa mwenzao ambaye hajawaajiri na yeye kaajiriwa. Huo ukuu wa shule ni kama ukiranja tu. Walimu wakuu wa namna hiyo wana kiherehere na kujipendekeza kwa viongozi wa ngazi za juu wilayani. Uongozi ni dhamana waache kutesa walimu wenzao
Duh!!.Nilishuhudia mkoa flani (miaka ya nyuma), mwalimu mmoja kijana alitembea na mwanafunzi wa kike, headmaster alimuamuru alale chini na kisha akamtandika fimbo sita matakoni!
Tena mambwa kabisaa haoAcheni woga mbwa nyie
Mi niliwa kuzikunja na mkuu wangu wa shule, msaidizi wake ndio nikamkunjia ngumi kabisa tuzipige mbele ya wanafunzi. Mkuu wa shule alikuwa mnaa sana nikachoka kuvumilia tabia zake hivyo nikaamua kukinukisha staff nzima kuanzia kwa mkuu mkuu wa shule hadi kwa walimu wengine wanaojipendekeza kwake. Cha ajabu wanafunzi wote wakaka upande wangu wakinitetea huku wakitaka kubeba mawae kuwabonda walimu wanafiki. Nilikuwa kijana mdogo na hao walimu walikuwa ni wazee. Heshima iliwekwa kwangu, waliniogopa kama ukoma. Kwa sasa ni wastaafu na mmoja wao anastaafu mwaka huu. Wamekuwa marafiki zangu wakubwa huko waliko.Nilishuhudia mkoa flani (miaka ya nyuma), mwalimu mmoja kijana alitembea na mwanafunzi wa kike, headmaster alimuamuru alale chini na kisha akamtandika fimbo sita matakoni!
Hao wote hawaelewi management ya kisasa, huwa wanajifanyia mambo. kama walivyolelewa wao makwao.Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule ana wachukulia walimu wake kama watoto..kufika kzn ni saa 1 kamili. kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali baraa kuwaandikisha baraua Kila wakati
Upo sahihiWalimu wengi wa nchi hii hawana akili