mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
sasa naanza kukubaliana na wwe huku tukianza na kialini askofu wangu, tibaijuka, mtoa rushwa rugemalira mwenyewe hadi wakatoliki wote wa pale magogoni ambao wengi wamechukua huu mgaoDah! Natamani mahakama hiyo ianzishwe ili majizi yote yaliyoliibia taifa kupitia ESCROW ambayo mengi ni makatoliki yawajibishwe.