Wakatoliki wanajua kuomba kuliko Waprotestanti

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,213
3,589
Kati ya Madhehebu ya TCD (Trinitarian Christian Denominations) ni Wakatoliki pekee ndiyo wanajuwa kuomba.

Madhehebu ya TCD ya Kiporotestanti wafuasi wao wengi hawajui kuomba.

Wakatoliki wamefundishwa kuomba Liturgia nzima 100% kuanzia mtoto wa shule ya Jumapili hadi mzee.

Waumini wa madhehebu hayo mengine wana uvivu wa maombi na wengi hawajui waombeje hata Liturgia yenyewe wanayoimba kwa mwaka mzima.

Ukiambiwa kuomba Kikatoliki kwenye umati Wakatoliki wote walioko hapo wanadakia na kuanza kutiririka na wewe hadi mwisho.

Sasa jaribu kuomba Kiprotestanti kwenye umati, Waprotestanti walioko hapo wanakaa kimya kukutegemea 100% uombe (uwaombee) mwenyewe kwa niaba yao.

Kama ni shughuli ya Wakatoliki akiambiwa mmoja aombe watagombania fursa hiyo kama mpira wa kona.

Sasa aambiwe Mprotestanti mmoja aombe, kimya kitatanda kwa sekunde kadhaa wakiviziana nani ajitokeze.
 
Wengi huwa wanaamini hivyo kabla hawajaondoka huko katolisi, au hata Lutheran, anglican au kwengine. ila baada ya kuokoka, unakuja kufunguka macho na kuona haujawahi kuomba kabisa.

1. Maombi ya Litulgia sio maombi, ni kusoma kitu ambacho hakipo moyoni mwako. huwezi kusoma kitabu ukasema unaongea na Mungu, hapo unakuwa unaongea na kitabu.

2. Kuomba kwa kweli ni kuomba kwa akili na kuomba kwa Roho Mtakatifu. Kuomba kwa Roho ni pale unaposaidiwa na Roto Mtakatifu kuomba, yaani kunena kwa Lugha ambako Paulo alisema "mimi nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote..nataka nyote mnene kwa lugha", unaponena kwa lugha roho yako inakuwa inaongea na Mungu mojakwa moja, na utaomba kwa mapenzi ya Mungu tu, ila ukiomba kwa akili, nusu ya maombi yako yanaweza kujaa tamaa na mahitaji yako ya kimwili ambayo mengine Mungu hataki uyapate kwasababu hayatakusaidia, ila ukiomba kwa Roho asilimia mia moja ya maombi yote ni yaliyo mapenzi ya Mungu. swali; ninyi katoliki na lutheran na wengine msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, huwa mnaombaje kwa Roho?

3. Mungu ni Roho, huwezi kumpata kimwili. huwezi kumpata kwenye akili hii ya kawaida, kwenye ulimwengu huu wa nyama, hata ukiomba kwa akili ni kwamba unaishia tu kuamini kwa rohoni kwamba imetendeka ila hauamini kwa mwili. hivyo lazima umwendeapo umwendee rohoni. kuomba kwa kutumia vitabu au kufuatishwa ni kimwili sio kiroho na Mungu hapatikani huko mwilini.

4. Katika kanisa la kwanza, siku ile ya Pentecost walimwuliza Petro tufanyeje sasa, Petro akawaambia TUBUNI MKABATIZWE KWA JILA LAKE YESU NANYI MTAPOKEA KIPAWA CHA ROHO MTAKATIFU. kumbe ni muhimu mno kwa kila mwamini kuwa na kipawa cha Roho Mtakatifu, ukiona unasali kwenye kanisa ambalo hakuna ujazo wa Roho Mtakatifu, hapo kimbia, mnaabudu dini, na dini haijawahi kuokoa. Yesu alisema wakae pale Yesusalem hadi Roho Mtakatifu atakaposhuka wala wasiondoke, kwasababu huyo ndiye msaidizi ambaye bila yeye hatuwezi kumpendeza Mungu, yeye anatutia kwenye kweli yote. swali ni je, ninyi msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, mnaabudu properly? au mnapoteza tu muda? Mungu awape neema ya kufahamu haya.
 
Mhhh, Mimi ni mkatoliki ila suala la kukariri Sala sio zuri nikupe ushuhuda apo nyuma nikiwa chini ya parents tulikuwa na utaratibu wa kusali lozari nzima before kulala sasa unaweza ukawa unasali Sala kwa sababu ipo kichwani umeikariri lakini wewe haupo...unasinzia na unaweza ukalala mpaka unamwagiwa maji ndo unashtuka lakini ufasaha wa kusali ni kuweka akili yako kwa mungu( kiwasiliana na mungu) na sio kutiririka tu
 
mhhh, Mimi ni mkatoliki ila suala la kukariri Sala sio zuri nikupe ushuhuda apo nyuma nikiwa chini ya parents tulikuwa na utaratibu wa kusali lozari nzima before kulala sasa unaweza ukawa unasali Sala kwa sababu ipo kichwani umeikariri lakini wewe haupo...unasinzia na unaweza ukalala mpaka unamwagiwa maji ndo unashtuka lakini ufasaha wa kusali ni kuweka akili yako kwa mungu( kiwasiliana na mungu) na sio kutiririka tu
bora wewe umesema ukweli. wengi hawatakuwa wawazi namna hii.
 
mhhh, Mimi ni mkatoliki ila suala la kukariri Sala sio zuri nikupe ushuhuda apo nyuma nikiwa chini ya parents tulikuwa na utaratibu wa kusali lozari nzima before kulala sasa unaweza ukawa unasali Sala kwa sababu ipo kichwani umeikariri lakini wewe haupo...unasinzia na unaweza ukalala mpaka unamwagiwa maji ndo unashtuka lakini ufasaha wa kusali ni kuweka akili yako kwa mungu( kiwasiliana na mungu) na sio kutiririka tu
Uko sahihi.
 
Wengi huwa wanaamini hivyo kabla hawajaondoka huko katolisi, au hata Lutheran, anglican au kwengine. ila baada ya kuokoka, unakuja kufunguka macho na kuona haujawahi kuomba kabisa.

1. Maombi ya Litulgia sio maombi, ni kusoma kitu ambacho hakipo moyoni mwako. huwezi kusoma kitabu ukasema unaongea na Mungu, hapo unakuwa unaongea na kitabu.

2. Kuomba kwa kweli ni kuomba kwa akili na kuomba kwa Roho Mtakatifu. Kuomba kwa Roho ni pale unaposaidiwa na Roto Mtakatifu kuomba, yaani kunena kwa Lugha ambako Paulo alisema "mimi nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote..nataka nyote mnene kwa lugha", unaponena kwa lugha roho yako inakuwa inaongea na Mungu mojakwa moja, na utaomba kwa mapenzi ya Mungu tu, ila ukiomba kwa akili, nusu ya maombi yako yanaweza kujaa tamaa na mahitaji yako ya kimwili ambayo mengine Mungu hataki uyapate kwasababu hayatakusaidia, ila ukiomba kwa Roho asilimia mia moja ya maombi yote ni yaliyo mapenzi ya Mungu. swali; ninyi katoliki na lutheran na wengine msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, huwa mnaombaje kwa Roho?

3. Mungu ni Roho, huwezi kumpata kimwili. huwezi kumpata kwenye akili hii ya kawaida, kwenye ulimwengu huu wa nyama, hata ukiomba kwa akili ni kwamba unaishia tu kuamini kwa rohoni kwamba imetendeka ila hauamini kwa mwili. hivyo lazima umwendeapo umwendee rohoni. kuomba kwa kutumia vitabu au kufuatishwa ni kimwili sio kiroho na Mungu hapatikani huko mwilini.

4. Katika kanisa la kwanza, siku ile ya Pentecost walimwuliza Petro tufanyeje sasa, Petro akawaambia TUBUNI MKABATIZWE KWA JILA LAKE YESU NANYI MTAPOKEA KIPAWA CHA ROHO MTAKATIFU. kumbe ni muhimu mno kwa kila mwamini kuwa na kipawa cha Roho Mtakatifu, ukiona unasali kwenye kanisa ambalo hakuna ujazo wa Roho Mtakatifu, hapo kimbia, mnaabudu dini, na dini haijawahi kuokoa. Yesu alisema wakae pale Yesusalem hadi Roho Mtakatifu atakaposhuka wala wasiondoke, kwasababu huyo ndiye msaidizi ambaye bila yeye hatuwezi kumpendeza Mungu, yeye anatutia kwenye kweli yote. swali ni je, ninyi msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, mnaabudu properly? au mnapoteza tu muda? Mungu awape neema ya kufahamu haya.
Thread closed
 
Wengi huwa wanaamini hivyo kabla hawajaondoka huko katolisi, au hata Lutheran, anglican au kwengine. ila baada ya kuokoka, unakuja kufunguka macho na kuona haujawahi kuomba kabisa.

1. Maombi ya Litulgia sio maombi, ni kusoma kitu ambacho hakipo moyoni mwako. huwezi kusoma kitabu ukasema unaongea na Mungu, hapo unakuwa unaongea na kitabu.

2. Kuomba kwa kweli ni kuomba kwa akili na kuomba kwa Roho Mtakatifu. Kuomba kwa Roho ni pale unaposaidiwa na Roto Mtakatifu kuomba, yaani kunena kwa Lugha ambako Paulo alisema "mimi nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote..nataka nyote mnene kwa lugha", unaponena kwa lugha roho yako inakuwa inaongea na Mungu mojakwa moja, na utaomba kwa mapenzi ya Mungu tu, ila ukiomba kwa akili, nusu ya maombi yako yanaweza kujaa tamaa na mahitaji yako ya kimwili ambayo mengine Mungu hataki uyapate kwasababu hayatakusaidia, ila ukiomba kwa Roho asilimia mia moja ya maombi yote ni yaliyo mapenzi ya Mungu. swali; ninyi katoliki na lutheran na wengine msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, huwa mnaombaje kwa Roho?

3. Mungu ni Roho, huwezi kumpata kimwili. huwezi kumpata kwenye akili hii ya kawaida, kwenye ulimwengu huu wa nyama, hata ukiomba kwa akili ni kwamba unaishia tu kuamini kwa rohoni kwamba imetendeka ila hauamini kwa mwili. hivyo lazima umwendeapo umwendee rohoni. kuomba kwa kutumia vitabu au kufuatishwa ni kimwili sio kiroho na Mungu hapatikani huko mwilini.

4. Katika kanisa la kwanza, siku ile ya Pentecost walimwuliza Petro tufanyeje sasa, Petro akawaambia TUBUNI MKABATIZWE KWA JILA LAKE YESU NANYI MTAPOKEA KIPAWA CHA ROHO MTAKATIFU. kumbe ni muhimu mno kwa kila mwamini kuwa na kipawa cha Roho Mtakatifu, ukiona unasali kwenye kanisa ambalo hakuna ujazo wa Roho Mtakatifu, hapo kimbia, mnaabudu dini, na dini haijawahi kuokoa. Yesu alisema wakae pale Yesusalem hadi Roho Mtakatifu atakaposhuka wala wasiondoke, kwasababu huyo ndiye msaidizi ambaye bila yeye hatuwezi kumpendeza Mungu, yeye anatutia kwenye kweli yote. swali ni je, ninyi msioamini ujazo wa Roho Mtakatifu, mnaabudu properly? au mnapoteza tu muda? Mungu awape neema ya kufahamu haya.
Mkuu huyo namba 4 hapo umetudanganya.
Ujazo wa Roho Mtakatifu hautegemei kanisa (dhehebu) ulilopo, bali unategemea uhusiano wako na Yesu kristo pamoja na kiu yako ya kutaka kujazwa.

Mwisho kabisa fahamu tu, wapo watu wengi wananena kwa lugha 'kimchongo' kutokana na mazingira ya dhehebu walilopo, ni wapagani wa kawaida kabisa lakini wanazuga kwa kunena kwa lugha.

Note:
Anayejaza watu Roho Mtakatifu ni Yesu mwenyewe na sio dhehebu fulani, na anayejazwa Roho Mtakatifu ni mtu binafsi na sio dhehebu/kanisa fulani.
 
Mkuu huyo namba 4 hapo umetudanganya.
Ujazo wa Roho Mtakatifu hautegemei kanisa (dhehebu) ulilopo, bali unategemea uhusiano wako na Yesu kristo pamoja na kiu yako ya kutaka kujazwa.

Mwisho kabisa fahamu tu, wapo watu wengi wananena kwa lugha 'kimchongo' kutokana na mazingira ya dhehebu walilopo, ni wapagani wa kawaida kabisa lakini wanazuga kwa kunena kwa lugha.

Note:
Anayejaza watu Roho Mtakatifu ni Yesu mwenyewe na sio dhehebu fulani, na anayejazwa Roho Mtakatifu ni mtu binafsi na sio dhehebu/kanisa fulani.
NAOMBA nikusaidie kitu kimoja.

1. Dhehebu halimfikishi mtu mbinguni, Mungu haangalii watu kwa dhehebu, hata hivyo dhehemu sahihi ni muhimu kwasababu maana ya dhehebu ni utaratibu/mfumo ambao watu wamejiwekea ktk kumtafuta Mungu, wapo walioweka utaratibu unaoendana na Biblia, na wapo ambao wameweka utaratibu usio wa kibiblia ambao hata ufanyeje haukusaidii kama nyenzo/mwongozi wa kukufikisha mahali pa kumwona Mungu. Mfano; yapo makanisa ambayo msingi wao mkuu sio wokovu, na sio Roho Mtakatifu, wakati wanajua kabisa MItume tangu siku ile ya Pentecost na mahubiri yao yote walijikita hapo na walifanikiwa katika hapo. wapo watu wanasali kwa wafu na kwa maria ambaye hajafufuka, bado amekufa, sisi sote kama tutaishi au tutakufa tunautarajia ufufuo wa wafu,hao kina maria watakuja kufufuliwa, unawaombaje sasa wakati bado ni wafu?

2.Ni weli, sio wote wanaonena kwa Lugha ni Roho Mtakatifu kweli, shetani pia huwa anajichanganya humohumo ili kudanganya. lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba kunena kwa Lugha ni muhimu mno. uwepo wa lugha feki kadhaa hakuhalalishi wewe usihitaji kujazwa. ni hasara yako. pia, hata makanisa/madhehemu yenye mifumo mizuri, sio wote waliopo pale ni watu wa Mungu, wengine wanapeleka pale na shetani kama mapandikizi tu, ndio maana wapo hadi wachawi, cha muhimu ni kwamba, unakuwepo mahali penye mfumo wenye msaada katika kumtafuta Mungu na kwa watu wenye nia moja, ndio cha muhimu.

3. sio dhehebu linalojaza Roho Mtakatifu, ila kuna madhehebu leo hii Yesu akikujaza Roho, wanakufukuza kabisa, wnaasema huo sio utaratibu wao. unasemaje hapo? ni mara ngapi makanisa katoliki wameandika vibao kabisa "MARUFUKU KWA KARISMATIC KUSALI HAPA", na karismatic huwa wanaenda kwneye mfumo sahihi ila tofauti na dhehebu. wanafellowship pia wameshapitia kipindi kigumu sana huko lutheran, hata Kimaro alichukiwa kwasababu alikuwa anatoka nje ya mfumo, Malasusa alisema hilo kwenye tv. utasemaje hapo?
 
Kati ya Madhehebu ya TCD (Trinitarian Christian Denominations) ni Wakatoliki pekee ndiyo wanajuwa kuomba.

Madhehebu ya TCD ya Kiporotestanti wafuasi wao wengi hawajui kuomba.

Wakatoliki wamefundishwa kuomba Liturgia nzima 100% kuanzia mtoto wa shule ya Jumapili hadi mzee.

Waumini wa madhehebu hayo mengine wana uvivu wa maombi na wengi hawajui waombeje hata Liturgia yenyewe wanayoimba kwa mwaka mzima.

Ukiambiwa kuomba Kikatoliki kwenye umati Wakatoliki wote walioko hapo wanadakia na kuanza kutiririka na wewe hadi mwisho.

Sasa jaribu kuomba Kiprotestanti kwenye umati, Waprotestanti walioko hapo wanakaa kimya kukutegemea 100% uombe (uwaombee) mwenyewe kwa niaba yao.

Kama ni shughuli ya Wakatoliki akiambiwa mmoja aombe watagombania fursa hiyo kama mpira wa kona.

Sasa aambiwe Mprotestanti mmoja aombe, kimya kitatanda kwa sekunde kadhaa wakiviziana nani ajitokeze.
Hicho unachokisema kiuhalisia sio maombi, bali ni ukaririsho wa maneno ya kimapokeo (Liturgia), ni utamaduni wa kuendesha ibada kwa dini nyingi za kale zilizokuwepo Ulaya Magharibi ikiwemo Roma nk.

Maombi ni namna ya mtu binafsi kuwasiliana na Mungu wake kwa kujieleza kutoka rohoni mwake kwa namna rahisi kabisa na uhuru. Ukiona namna ya kuomba kwako umejifunga kidhehebu/kidini lako/yako kuliko kutoka rohoni mwako basi ujue bado hajajua kuomba.

Namna rahisi ya kufahamu kuwa wewe unaomba ama la, waza namna mtoto mdogo anapokuwa mwenyewe halafu ghafla jambo la hatari limtokee halafu bila kuelezwa na yoyote nini cha kufanya, yeye mwenyewe aanze kupiga yowe ya kuomba kusaidiwa huku akiita mamaaaaa mamaaaa! Huyo ndio muombaji.
 
NAOMBA nikusaidie kitu kimoja.

1. Dhehebu halimfikishi mtu mbinguni, Mungu haangalii watu kwa dhehebu, hata hivyo dhehemu sahihi ni muhimu kwasababu maana ya dhehebu ni utaratibu/mfumo ambao watu wamejiwekea ktk kumtafuta Mungu, wapo walioweka utaratibu unaoendana na Biblia, na wapo ambao wameweka utaratibu usio wa kibiblia ambao hata ufanyeje haukusaidii kama nyenzo/mwongozi wa kukufikisha mahali pa kumwona Mungu. Mfano; yapo makanisa ambayo msingi wao mkuu sio wokovu, na sio Roho Mtakatifu, wakati wanajua kabisa MItume tangu siku ile ya Pentecost na mahubiri yao yote walijikita hapo na walifanikiwa katika hapo. wapo watu wanasali kwa wafu na kwa maria ambaye hajafufuka, bado amekufa, sisi sote kama tutaishi au tutakufa tunautarajia ufufuo wa wafu,hao kina maria watakuja kufufuliwa, unawaombaje sasa wakati bado ni wafu?

2.Ni weli, sio wote wanaonena kwa Lugha ni Roho Mtakatifu kweli, shetani pia huwa anajichanganya humohumo ili kudanganya. lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba kunena kwa Lugha ni muhimu mno. uwepo wa lugha feki kadhaa hakuhalalishi wewe usihitaji kujazwa. ni hasara yako. pia, hata makanisa/madhehemu yenye mifumo mizuri, sio wote waliopo pale ni watu wa Mungu, wengine wanapeleka pale na shetani kama mapandikizi tu, ndio maana wapo hadi wachawi, cha muhimu ni kwamba, unakuwepo mahali penye mfumo wenye msaada katika kumtafuta Mungu na kwa watu wenye nia moja, ndio cha muhimu.

3. sio dhehebu linalojaza Roho Mtakatifu, ila kuna madhehebu leo hii Yesu akikujaza Roho, wanakufukuza kabisa, wnaasema huo sio utaratibu wao. unasemaje hapo? ni mara ngapi makanisa katoliki wameandika vibao kabisa "MARUFUKU KWA KARISMATIC KUSALI HAPA", na karismatic huwa wanaenda kwneye mfumo sahihi ila tofauti na dhehebu. wanafellowship pia wameshapitia kipindi kigumu sana huko lutheran, hata Kimaro alichukiwa kwasababu alikuwa anatoka nje ya mfumo, Malasusa alisema hilo kwenye tv. utasemaje hapo?
Hii mifumo ya kidini ya kimapokea imewateka wengi mno, wengine hudhani kuyaishi hayo mapokeo asilimia 💯 ndio kumpendeza Mungu na ukikiuka ni kufuru kumbe hata mambo ya rohoni hayana mipaka hiyo.
 
NAOMBA nikusaidie kitu kimoja.

1. Dhehebu halimfikishi mtu mbinguni, Mungu haangalii watu kwa dhehebu, hata hivyo dhehemu sahihi ni muhimu kwasababu maana ya dhehebu ni utaratibu/mfumo ambao watu wamejiwekea ktk kumtafuta Mungu, wapo walioweka utaratibu unaoendana na Biblia, na wapo ambao wameweka utaratibu usio wa kibiblia ambao hata ufanyeje haukusaidii kama nyenzo/mwongozi wa kukufikisha mahali pa kumwona Mungu. Mfano; yapo makanisa ambayo msingi wao mkuu sio wokovu, na sio Roho Mtakatifu, wakati wanajua kabisa MItume tangu siku ile ya Pentecost na mahubiri yao yote walijikita hapo na walifanikiwa katika hapo. wapo watu wanasali kwa wafu na kwa maria ambaye hajafufuka, bado amekufa, sisi sote kama tutaishi au tutakufa tunautarajia ufufuo wa wafu,hao kina maria watakuja kufufuliwa, unawaombaje sasa wakati bado ni wafu?

2.Ni weli, sio wote wanaonena kwa Lugha ni Roho Mtakatifu kweli, shetani pia huwa anajichanganya humohumo ili kudanganya. lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba kunena kwa Lugha ni muhimu mno. uwepo wa lugha feki kadhaa hakuhalalishi wewe usihitaji kujazwa. ni hasara yako. pia, hata makanisa/madhehemu yenye mifumo mizuri, sio wote waliopo pale ni watu wa Mungu, wengine wanapeleka pale na shetani kama mapandikizi tu, ndio maana wapo hadi wachawi, cha muhimu ni kwamba, unakuwepo mahali penye mfumo wenye msaada katika kumtafuta Mungu na kwa watu wenye nia moja, ndio cha muhimu.

3. sio dhehebu linalojaza Roho Mtakatifu, ila kuna madhehebu leo hii Yesu akikujaza Roho, wanakufukuza kabisa, wnaasema huo sio utaratibu wao. unasemaje hapo? ni mara ngapi makanisa katoliki wameandika vibao kabisa "MARUFUKU KWA KARISMATIC KUSALI HAPA", na karismatic huwa wanaenda kwneye mfumo sahihi ila tofauti na dhehebu. wanafellowship pia wameshapitia kipindi kigumu sana huko lutheran, hata Kimaro alichukiwa kwasababu alikuwa anatoka nje ya mfumo, Malasusa alisema hilo kwenye tv. utasemaje hapo?
Bado kuna kitu hujaelewa ama unakielewa vibaya.

Mimi nimesema suala la kujazwa Roho Mtakatifu kiuhalusia ni suala binafsi kati ya mtu na Yesu wake. It is a very intimate relationship.

Kama level ya uhusiano wa mtu na Yesu ikawa unategemea zaidi level ya kiimani ya dhehebu lake, hiyo itakuwa ni poor level ya ukristo. Ni utoto wa kiroho. Ni suala la muda tu, huyo mkristo atayumba ama ataendelea kuonekana mkristo mbele ya dhehebu lake lakini wakati huo huo atakuwa amekatisha uhusiano wake na Yesu. Why? Mungu ni mwenye wivu mkubwa, hawezi kuruhusu uhusiano wake binafsi na mtu awe kwenye angle ya utegemezi wa dhehebu lake.

Swali kuu na muhimu kuliko yote hapa nitakuuliza, mahali (dhehebu) sahihi kwa mkristo ni wapi/lipi? Nimeuliza hapa kwa kuwa umelizungumzia hilo jambo.
 
Bado kuna kitu hujaelewa ama unakielewa vibaya.

Mimi nimesema suala la kujazwa Roho Mtakatifu kiuhalusia ni suala binafsi kati ya mtu na Yesu wake. It is a very intimate relationship.

Kama level ya uhusiano wa mtu na Yesu ikawa unategemea zaidi level ya kiimani ya dhehebu lake, hiyo itakuwa ni poor level ya ukristo. Ni utoto wa kiroho. Ni suala la muda tu, huyo mkristo atayumba ama ataendelea kuonekana mkristo mbele ya dhehebu lake lakini wakati huo huo atakuwa amekatisha uhusiano wake na Yesu. Why? Mungu ni mwenye wivu mkubwa, hawezi kuruhusu uhusiano wake binafsi na mtu awe kwenye angle ya utegemezi wa dhehebu lake.

Swali kuu na muhimu kuliko yote hapa nitakuuliza, mahali (dhehebu) sahihi kwa mkristo ni wapi/lipi? Nimeuliza hapa kwa kuwa umelizungumzia hilo jambo.
nadhani tupo tu pamoja, dhehebu msaada wake mkubwa ni kwamba linakuelekeza kwenye mifumo sahihi tu, ila uhusiano wa kujazwa ni wa mtu binafsi. ndio maana unaweza kuwepo hata kwenye madhehebu yanayoamini ujazo, lakini usijazwe. to declare my interests, mimi nimetoka makanisa ya kuokoka, kule tunaamini pamoja na mambo mengine, ujazo wa Roho Mtakatifu, ila wapo wengi tu huwa hawajazwi na hawajawahi kujazwa, na hata mimi ilinichukua muda kujazwa hadi pale nilipomfahamu Mungu na kuyatoa maisha yangu kwake mazima, hapo ndipo akaja moyoni.

hata hivyo, hilo halimaanishi hakuna madhehebu yasiyo na mfumo wa kukusaidia, yapo madhehebu mifumo yake inaweza kukusaidia uwe na uhusiano mzuri na Mungu in person hadi kupelekea kujazwa, na yapo mengine ambayo mifumo yake itakuweka mbali na Mungu na hautajazwa kamwe.
 
Kati ya Madhehebu ya TCD (Trinitarian Christian Denominations) ni Wakatoliki pekee ndiyo wanajuwa kuomba.

Madhehebu ya TCD ya Kiporotestanti wafuasi wao wengi hawajui kuomba.

Wakatoliki wamefundishwa kuomba Liturgia nzima 100% kuanzia mtoto wa shule ya Jumapili hadi mzee.

Waumini wa madhehebu hayo mengine wana uvivu wa maombi na wengi hawajui waombeje hata Liturgia yenyewe wanayoimba kwa mwaka mzima.

Ukiambiwa kuomba Kikatoliki kwenye umati Wakatoliki wote walioko hapo wanadakia na kuanza kutiririka na wewe hadi mwisho.

Sasa jaribu kuomba Kiprotestanti kwenye umati, Waprotestanti walioko hapo wanakaa kimya kukutegemea 100% uombe (uwaombee) mwenyewe kwa niaba yao.

Kama ni shughuli ya Wakatoliki akiambiwa mmoja aombe watagombania fursa hiyo kama mpira wa kona.

Sasa aambiwe Mprotestanti mmoja aombe, kimya kitatanda kwa sekunde kadhaa wakiviziana nani ajitokeze.
Wakati wewe unadhania kukaririshwa zile Sala za kimapokeo (Liturgia) na kuzisema/kuziimba kwa pamoja (systematic) ndio kuomba/maombi kuna mwingine anadhania kupiga kelele na kusema kwa sauti kubwa kila mtu kivyake kivyake (vigorous) huku akiwa amefunga macho ndio kuomba! Yote hayo ni mapokeo tu.

Kuomba ni jambo binafsi tena la rohoni. Unaweza usifungue mdomo na wala usifunge macho na bado ukaomba.
 
Back
Top Bottom