Waislam watishia kuandamana nchi nzima siku ya Ijumaa

Waislamu napenda mjue kuwa tunatia aibu, na pia mfahamu kuwa kuna kikundi flan au niseme genge la wahuni ambao lazima wametumwa kuvuruga uislamu ili uonekane ni dini isiyofaa na ni dini ya wahuni wavunjifu wa amani si kwa tanzania pekee bali kwa dunia nzima...acheni kabisa mambo ya maandamano.

Hiyo siku ya ijumaa ni moja ya masiku matukufu, msiwaponze wenzenu ambao ilibidi wawe na familia zao ndugu, jamaa na majirani wakila nyama za mbuzi, eti wakalale segerea kwa jambo lisilo na msingi.

Mwisho wa hao akina Simba ni mwaka 2015 pale sisi emu itapofunga virago na wao watatakiwa kufungasha vya kwao..
baada ya hapo ni jela bila mashitaka na hamna kuwapeleka keko, ni segerea tu

Leo mi mwenzenu ntafunga simu tasbihi kuubwa mkononi navuta uradi na kesho wa kwanza masjid then saa tatu tatu hivi nachinja kambuzi kangu tule na jamaa zangu... halalan min twaibati
 
Kwahio Ponda atapondea maraha ya Idd huko huko Segerea? Lazima nimpelekeee kilo moja ya nanihii alikua mteja wangu sana pale Traffic Jam Pub
 
Wanaandamana kwa vile wanajua serikali ni dhaifu, hawatafanywa chochote, nani wa kuwashughulikia? Rais ni mtu wao, makamu wa rais ni mtu wao, IGP ni mtu wao, RPC (Dar) ni mtu wao, sasa MUNGU awape nini tena hapo? Kidonda? Andamane ya mwisho mwisho kwani mwaka 2015 sio mbali!
 
Mkuu nakuunga mkono kabisa. Waisilamu wasipoangalia vizuri wanaweza wakapotea kwenye misingi ya dini yao. Maana kuna baadhi ya viongozi either kwa masilahi yao wamekuwa wakitengeneza wafuasi wao na kufanya vurugu zisizokuwa za msingi. Hata ukiangalia vyombo vya habari vyao eg radio Imaam badala ya kuhubiri dini watu waielewe vizuri wanaishia kujenga chuki na harakati zisizokuwa na tija na Uisilamu mpaka sasa watu wanaanza kuona ni dini ya vurugu na watu wasiokuwa wastahimilifu..let be careful on this..msije kuongozwa na matukio. kila ijumaa wanaanza kufikiria nini cha kuandamania!!!
 
mh sisi majirani na hizi kambi za nanii tunawaona jamaa wanafanya mazoezi kama vile wanataka kupigana na magaidi nafikiri ni ili kupambana na haya maandamano ya ijumaa.yan me ningeshauri wasiandamane sababu wamejiandaa vilivo this time yan tumuombe tu Mungu kusiwe na maafa.
 
JWTZ wapo fit kuwaangamiza kabisa endapo wataandamana ijumaa. Wakishaangamizwa tu nitafanya "bonge la sherehe" kufurahia.
 
hawa watu wakabidhiwe kichapo cha nguvu wakalale miezi6 ..cheza na JWTZ?waacheni waone wenyewe.
Waislam huwa hawaogopi kufa hasa pale wanapodai maslahi ya kidini tena mtu akifa ktk njia hiyo anakuwa ktk hali nzuri sana mbele za mungu, kwani amekuwa amekufa shahidi, we sherehekea tu kuuawa kwa waislamu.
 
Kwani serikali ndo iliwachagua hao viongozi wa BAKWATA?Si watoane wenyewe huko?
 
Hivi wana nini hawa ndugu? Serikali imeshatangaza kupiga marufuku mihadhara na mikusanyiko ya kidini,sasa wao kuamua hivi si wanataka shari kwa makusudi kabisa! Nina wasiwasi na nia ya hawa watu hapa nchini. La kusikitisha zaidi kuna vijana wengi wanapelekwa pelekwa kwa mgongo wa imani bila kujua nia ya viongozi wao. Sumu haionjwi kwa kuilamba.....subiri mtakiona cha moto!
Kama ilivyo tangaza kuwa hakuna mkutano mpka sensa iishe unafikiri nini kilifanyika!
 
Hii DINI sasa imekuwa kero kwa wana wa Tanzania wengine,
Kwani lazima muandamane?
Kama BAKWATA ni tatizo, si azisheni Baraza lingine lenye nguvu kuliko wao then mtawashinda kwa hoja kwani wenzenu wote watawaunga mkono!
La sivyo mnatumiwa vibaya sana, na au hamuwezi kuchanganua mambo vyema.
 
Waislamu napenda mjue kuwa tunatia aibu, na pia mfahamu kuwa kuna kikundi flan au niseme genge la wahuni ambao lazima wametumwa kuvuruga uislamu ili uonekane ni dini isiyofaa na ni dini ya wahuni wavunjifu wa amani si kwa tanzania pekee bali kwa dunia nzima...acheni kabisa mambo ya maandamano.

Hiyo siku ya ijumaa ni moja ya masiku matukufu, msiwaponze wenzenu ambao ilibidi wawe na familia zao ndugu, jamaa na majirani wakila nyama za mbuzi, eti wakalale segerea kwa jambo lisilo na msingi.

Mwisho wa hao akina Simba ni mwaka 2015 pale sisi emu itapofunga virago na wao watatakiwa kufungasha vya kwao..
baada ya hapo ni jela bila mashitaka na hamna kuwapeleka keko, ni segerea tu

Leo mi mwenzenu ntafunga simu tasbihi kuubwa mkononi navuta uradi na kesho wa kwanza masjid then saa tatu tatu hivi nachinja kambuzi kangu tule na jamaa zangu... halalan min twaibati

Zamu hii mnaelekea wapi?
 
I don't know why wanapenda fujo hawa watu, hivi hawana kazi za kufanya?
 
Ni ujinga tu

Waislam huwa hawaogopi kufa hasa pale wanapodai maslahi ya kidini tena mtu akifa ktk njia hiyo anakuwa ktk hali nzuri sana mbele za mungu, kwani amekuwa amekufa shahidi, we sherehekea tu kuuawa kwa waislamu.
 
Tatizo tulilonalo waandishi wengi wa habari wanautumikia MFUMO KRISTO
na wengi wanaotuma post zao humu JF ni waandishi wa habari basi inakuwa
balaa yaani usitegemee zuri kuwahusu waislamu, yaani hawa jamaa wanachochea
vita nyuma ya Pazia.
 
Back
Top Bottom