Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Naibu mwenyekiti wa jumuiya ya waislam anafanya maandalizi ya maandamano ya waislam Tanzania nzima siku ya ijumaa. Lengo la maandamano ni pamoja na kushinikiza viongozi wa BAKWATA itoke madarakani. Mwenyekiti huyo kasema kuna sababu zingine ambazo hakuzisema katika redio ya BBC leo. Hii ni changamoto kwa serikali ya TZ