WAISLAMU WAPANGA KUANDAMANA IJUMAA - 26 OCT 2012.
Naipenda nchi yangu. Mficha Maandamano, ghasia humuumbua. Taarifa hii inalinda amani yetu wote. Hili jambo ni Nyeti kwa mustakabali wa Taifa letu.
Baadhi ya miskiti inapanga kufanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa tarehe 26 oct 2012 kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka kwenye misikiti . Misikiti hiyo ni ile ambayo ni maarufu kwa kufanya maandamano chini ya Ponda na wanaharakati wengine wa kiislamu. Taarifa kutoka ndani ya misikiti hiyo zinaeleza kwamba mpango huo unaratibiwa baada ya Ponda kukamatwa na kunyimwa dhamana.
Mpango huo unafanywa wakati wa swala za kila siku bila kutumia vipaza sauti ili vyombo vya dola na wanajamii wasiwe na taarifa hizo. Maazimio ni kwamba hadi kufikia saa 9 mchana wa siku ya Alhamisi 25 Oct 2012 kutakuwa na maandamano sehemu mbalimbali za jiji la Dar es slaam kama Sheikh Ponda atakuwa bado hajaachiwa huru au kuendelea kunyimwa dhamana. Kwa mujibu wa taarifa hizo, mpango mzima ni kuhakikisha kwamba maandamano hayo yanapangwa misikitini chini ya usiri mkubwa na utawahusu waumini wataokwenda misikitini .
Miongoni mwa mbinu zitakazotumika:-
- Maandamano yatapangwa kwenye makundi madogo madogo tofauti na ilivyozoeleka katika kundi moja kubwa ili kukwepa vizuizi vya vyombo vya dola. - Wanaume wameelezwa kuwa siku ya maandamano wasivae mavazi ya kiislamu yaani kanzu na balagashia.
- Wanawake watakaoandamana wameelezezwa kwamba kwa nia ya kuutetea uislamu siku hiyo wasivae baibui wala hijabu.
- Baadhi ya waandanaji wameelekezwa ikibidi wanunue vitambulisho vya ukristo kama rozari, vazi la Watawa au tai ya wachungaji zinazotumiwa na kanisa ili kuficha uislamu.
- Masheikh viongozi hawatatumika kutoa amri ya maandamano hayo ili kamatakamata ikianza viongozi wasikamatwe ili kuendeleza mapambano. Vijana maalum wameandaliwa kwa kazi hii.
- Vijana wa kukodi kutoka Zanzibar na Kenya (Waislamu) watakuwepo kuongeza hamasa ya maandamano na kudai haki za waislamu. wanajipanga Ijumaa ifike ...zanzibar na bara hakutakarika!
- Kipindi chote kuelekea siku ya kuandamana masheikh wafuasi wa Ponda watakuwa wanatoa hotuba kali dhidi ya serikali, vyombo vya dola na chuki dhidi ya ukristo ili kuwapa munkari vijana kupambana.
- Mpango wa kundi moja katika ya makundi hayo litaandamana kuelekea Ikulu kutimiza azima yake.
- Kundi lingine litaelekea Wizara ya Mambo ya Ndani.
- Watatumia Radio Imani, gazeti za Alnuur na Alhuda kuhamashisha Waislamu. Vyombo hivyo vinaendelea kusambaza chuki ndani ya jamii.
My take:
- Watanzania tukishabikia mambo haya ya udini, tutaangamiza taifa letu, nchi hii ni zaidi ya uislamu na ukristo.
- Wakati wa maandamano kama hayo jamii iwe mbali na waandamanaji na kuepuka kukaa kwenye makundi ili kukwepa mkono wa dola. Tangazo la JWTZ limetoka kutahadhalisha uvunjifu wa amani.
- Kama huna safari ya muhimu na kama inawezekana siku ya Ijumaa vunja safari zako baada ya kuwaona waandamanaji. Mji ukiwa mweupe tutakuwa tumevisaidia vyombo vya ulinzi na usalama kukabiliana na waandamanaji ambao wanapozidiwa hujichanganya na raia wema.
- Jeshi la Polisi na JWTZ fuatilieni mpango huu kwa ajili ya kulinda amani ya nchi wapenda nchi wako nyuma yenu.
- Tuombe wenye source zaidi na wanaipenda nchi hii waziweke jamvini ili watu waifahamu hali ya nchi kwa sasa na kusaidia kujua wawe na msimamo gani. Ushabiki au kejeli hazibadili fikra za watu.
- TANZANIA TULIYOPEWA NA MUNGU KWA UPENDELEO INAONDOKA TARATIBU !!!!!!. bye bye Tanzania.
wanapopigana waislamu basi hutaraji vitu 2 kushinda ama kufa na wanapokufa ktk hizo harakati basi kwao ni bora zaidi kuliko kuishi kwa manyanyasoJWTZ wapo fit kuwaangamiza hao Waislam. Waandamane tu ili nishuhudie wanavyoangamizwa. Itakuwa ni sherehe siku hiyo.
sio kauli nzuri hizo ukizingatia lengo letu humu ni moja sidhani kama kuna mafundisho yoyote iwe kipaimara ama ekaristi watu wakafundishwa kutukana imani nyingine na haikutokea enzi za YesuMkuu sasa ni muda wa serkali yetu kupitia JWTZ kuwaangamiza na kuwachinja vichwa kama kuku hawa mawakala wa shetani na kuhakikisha kanzu zinakuwa fupi kama vipedo kutokana na kipigo cha kufa mtu watachopewa.
Hacha unafiqi na kujipendekeza wewe, yanakuhusu?
wanapopigana waislamu basi hutaraji vitu 2 kushinda ama kufa na wanapokufa ktk hizo harakati basi kwao ni bora zaidi kuliko kuishi kwa manyanyaso
Hawa wanatafuta kila sababu kuanzisha vurugu ili kuwafurahisha mabwana zao. Mbona shehe mkuu alishasema kuwa BAKWATA haitaondoka kwa maandamano wala vurugu bali kufuata sheria na katiba yake? Je wanaogopa nini kufuata sheria na katiba yao wenyewe kama siyo wazushi na waleta fujo. Ila kipindi hiki bwana Dhaifu naona hatavumilia. Maana akiendelea kuwalea atalipia yeye.
hapa inabidi JWTZ wapewe sare za polis km kipindi kileeee,
uone watu watakavyo chakazwa!!!!!!
hapa inabidi JWTZ wapewe sare za polis km kipindi kileeee,
uone watu watakavyo chakazwa!!!!!!