yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,362
- 299
Waislamu napenda mjue kuwa tunatia aibu, na pia mfahamu kuwa kuna kikundi flan au niseme genge la wahuni ambao lazima wametumwa kuvuruga uislamu ili uonekane ni dini isiyofaa na ni dini ya wahuni wavunjifu wa amani si kwa tanzania pekee bali kwa dunia nzima...acheni kabisa mambo ya maandamano.
Hiyo siku ya ijumaa ni moja ya masiku matukufu, msiwaponze wenzenu ambao ilibidi wawe na familia zao ndugu, jamaa na majirani wakila nyama za mbuzi, eti wakalale segerea kwa jambo lisilo na msingi.
Mwisho wa hao akina Simba ni mwaka 2015 pale sisi emu itapofunga virago na wao watatakiwa kufungasha vya kwao..
baada ya hapo ni jela bila mashitaka na hamna kuwapeleka keko, ni segerea tu
Leo mi mwenzenu ntafunga simu tasbihi kuubwa mkononi navuta uradi na kesho wa kwanza masjid then saa tatu tatu hivi nachinja kambuzi kangu tule na jamaa zangu... halalan min twaibati
ushatekwa na wagala wa jf kifikra mkuu..jaribu kurudi nyuma uone wenzio waliko.