Waislam watishia kuandamana nchi nzima siku ya Ijumaa

Waislamu napenda mjue kuwa tunatia aibu, na pia mfahamu kuwa kuna kikundi flan au niseme genge la wahuni ambao lazima wametumwa kuvuruga uislamu ili uonekane ni dini isiyofaa na ni dini ya wahuni wavunjifu wa amani si kwa tanzania pekee bali kwa dunia nzima...acheni kabisa mambo ya maandamano.

Hiyo siku ya ijumaa ni moja ya masiku matukufu, msiwaponze wenzenu ambao ilibidi wawe na familia zao ndugu, jamaa na majirani wakila nyama za mbuzi, eti wakalale segerea kwa jambo lisilo na msingi.

Mwisho wa hao akina Simba ni mwaka 2015 pale sisi emu itapofunga virago na wao watatakiwa kufungasha vya kwao..
baada ya hapo ni jela bila mashitaka na hamna kuwapeleka keko, ni segerea tu

Leo mi mwenzenu ntafunga simu tasbihi kuubwa mkononi navuta uradi na kesho wa kwanza masjid then saa tatu tatu hivi nachinja kambuzi kangu tule na jamaa zangu... halalan min twaibati

ushatekwa na wagala wa jf kifikra mkuu..jaribu kurudi nyuma uone wenzio waliko.
 
pamoja na kuwa waislamu hawataki kunyanyaswa, wakumbuke kuwa hapa tanzania tuna: jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania.
waislamu wanaamini kama haki hakuna basi kufa ni bora zaidi. Na vitisho havisaidii kitu. Issue ni kutenda haki sawa na kukomesha uonevu makazini, mashuleni, na hata mavyuoni.
 
Sasa mimi nashindwa kuelewa. Kama lengo ni kumtoa Mufti, kwa nini waandamane nchi nzima? Ofisi za Mufti hawazijui? Hayo maandamano yanamanufaa gani kwa watu wengine ambao hawahusiki kabisa na uongozi wa waislam?
 
Viongozi wa jumuiya na taasisi za kislam(Taasisi iliyokuwa inaongozwa na Ponda kama katibu) imetangaza kuongoza maandamano mengine tena tarehe 02 november 2012.Hayo yamesemwa na Bwana mmoja anayeitwa kondo bungo alipokuwa akihojiwa na BBC jana usiku.alipoulizwa kama wana kibali au mpango wa kuomba kibali polisi kwa ajili ya maandamano hayo alisema "hatuhitajiki kuomba kibali bali kutoa taarifa na kisha kuandamana".Ndugu zangu nisaidieni juu ya sheria na utaratibu sahihi wa maandamano.je! ni kweli hamna sababu ya kuomba kibali kwa mutibu wa taratibu za nchi hii au watu hukosea kutafsiri sheria?je!kitaalam ni sahihi kila kundi linapotaka kuandamana siku yoyote,mahali popote na kuelekea popote linatakiwa liachwe tu bila masharti?je!maandamano ya namna hii yanakuwa na nia ya dhati ya kutatua matatizo ya kijamii au lengo ni kuipima serikali?
 
Naibu mwenyekiti wa jumuiya ya waislam anafanya maandalizi ya maandamano ya waislam Tanzania nzima siku ya ijumaa. Lengo la maandamano ni pamoja na kushinikiza viongozi wa BAKWATA itoke madarakani. Mwenyekiti huyo kasema kuna sababu zingine ambazo hakuzisema katika redio ya BBC leo. Hii ni changamoto kwa serikali ya TZ

Kwa hakika hakuna dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ila ni UISLAMU TU.
 
JWTZ wapo fit kuwaangamiza hao Waislam. Waandamane tu ili nishuhudie wanavyoangamizwa. Itakuwa ni sherehe siku hiyo.

Angalia mawazo ! Angalia upeo wa akili , Angalia fikra duni hizo. Wewe omba amani na sio watu kuuwawa. JWTZ au Serikali haina uwezo wa kuhimili machafuko makubwa ya ndani. Usiombe kuelekea huko ni pabaya sana na hakuna njia rahisi ya kujitoa ukisha ingia huko.
 
Naibu mwenyekiti wa jumuiya ya waislam anafanya maandalizi ya maandamano ya waislam Tanzania nzima siku ya ijumaa. Lengo la maandamano ni pamoja na kushinikiza viongozi wa BAKWATA itoke madarakani. Mwenyekiti huyo kasema kuna sababu zingine ambazo hakuzisema katika redio ya BBC leo. Hii ni changamoto kwa serikali ya TZ

Tufikie sehemu tuchoke na hizi mada za WAISLAMU WAISLAM WAISILAMU n.k.

Mimi nilichosikia ni kuwa Wafuasi wa Gaidi Ponda Issa Ponda wanapanga kuandamana. Na nakuhakikishia, anatania tu hana jeuri hiyo. Yule mwehu mwenzake atakula iddi gerezani
 
Hivi kumwaondoa sheikh mkuu ndio lazima mfanye maandamano? maandamano siyatoa draw attetion hata kwa wasio waislamu, mbona mnataka mambo yenu watu wote tushiriki, why? hivi kwa mfano wakristo wakiwa hawamtaki askofu fulani, umeisha sikia wanaandamana? ugomvi wao si hua unaishia huko huko makanisani mwao tu? sana sana tutakuaja sikia kupitia vyombo vya habari kua, Mmm, Dayosisi ya Pare kuna mgogoro, auy Kanisani kwa Kakobe kuna issue, hivi nyiem mbona mambo yenu binafsi mnataka kila mtu awaunge mkono, hamjui wengine hua wanaiona dini yenu sio ya Mungu? mtoeni huyo mufti wenu nyie wenyewe, msitake kutafuta company kwa wengine! poor decision kabisa!
 

Kwa hakika hakuna dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ila ni UISLAMU TU.

Moreover, the Tourat clealy says that NO PROPHET was to be expected from ishmael, for God's covenant was made with ISAAC, NOT with him (Gen17:18-20; 21:10-12) The quran also in several places speaks of the prophetic office as having been entrusted to Isaac seed (surah 29, al ankabut, verse 27, al jathiyya verse 15)
Labda mkuu unifahamishe alicho sahau MMungu hadi amtume muamad!
 

kwa hakika hakuna dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ila ni uislamu tu.

je ni haki gani? Au ya kuuana au kutukanana wenyewe kwa wenyewe au pia kubomoa makanisa na kuchoma magari na mali zingine?

Au ni haki ya upendo, amani na yote yaliyo mema kwa mungu?

Na ni mungu gani? Au ni mungu wa herufi ndogo au kubwa?

Tuangalie ya dini na kutofautisha au kilinganisha na matendo. Hapo ndio utaona ni ya mungu wa kweli wa upendo au mungu wa pili wa maovu
 
ushatekwa na wagala wa jf kifikra mkuu..jaribu kurudi nyuma uone wenzio waliko.

yaser muislamu mwenzetu kaongea ya msingi..
Na tusiwapuuze wagala wa jf; most of the time huwa wanatwambia ukweli
 
Last edited by a moderator:
Wanaandamana kwa vile wanajua serikali ni dhaifu, hawatafanywa chochote, nani wa kuwashughulikia? Rais ni mtu wao, makamu wa rais ni mtu wao, IGP ni mtu wao, RPC (Dar) ni mtu wao, sasa MUNGU awape nini tena hapo? Kidonda? Andamane ya mwisho mwisho kwani mwaka 2015 sio mbali!

Dah kwa mtaji huu! itachukua muda sana kwa presidaa muislam kuchaguliwa kutawala tena nchi hii
 
Huwezi kutishia nyau mtu mzima.........wao waende tu kwenye maandamano waone km allah atawasaidia.......kabla ya kufanya hivyo wawaulize wale ma hardcore wa kiislamu waliotangulia ambao ni osama bin laden, sadam hussein, gadafi km allah aliwasaidia!
 
siku hiyo lazima nimvizie jwtz yeyote ili nipokonye siraha . Sasa nikiikamata hiyo siraha nitaua waislamu kulingana na idadi ya risasi zitakazokuwemo maana inaonekana kwa amri ya waislamu kova na mwema waislamu wanafanya watakavyo
ikiwa wewe ni muadilifu na unadhani ukiotea na kuua waislam itakuwa ni sahihi basi pia uamini kwamba wakikuotea wakikua pia itakuwa sahihi,vinginevyo nawe utakuwa ni sehemu ya tatizo
 
wanaandamana kwa vile wanajua serikali ni dhaifu, hawatafanywa chochote, nani wa kuwashughulikia? Rais ni mtu wao, makamu wa rais ni mtu wao, igp ni mtu wao, rpc (dar) ni mtu wao, sasa mungu awape nini tena hapo? Kidonda? Andamane ya mwisho mwisho kwani mwaka 2015 sio mbali!
acha udini na uchochezi.mimi siungi mkono hawa jamaa kuandamana ila pia siungi mkono hoja zako.kwani viongozi wa sarikali akiwemo igp wanawaunga mkono hawa jamaa?kwani wamesema maandamano yatakuwa dar tu?sasa mbona hypothesis yako inaonekana imekaa ki bias sana? Chadema wanaandamana kila siku na wanaachwa tu ni kwa kuwa kikwete,igp n.k ni waislam na ni watu wao? Unadhani kwa kuwa uongozi wote wa juu ni ccm,basi ipo haja na wao wakawa wanaandamana mara kwa mara kwa hoja kwamba hawawezi kufanywa kitu kwa kuwa viongozi ni wao?
 
Waislamu napenda mjue kuwa tunatia aibu, na pia mfahamu kuwa kuna kikundi flan au niseme genge la wahuni ambao lazima wametumwa kuvuruga uislamu ili uonekane ni dini isiyofaa na ni dini ya wahuni wavunjifu wa amani si kwa tanzania pekee bali kwa dunia nzima...acheni kabisa mambo ya maandamano.

Hiyo siku ya ijumaa ni moja ya masiku matukufu, msiwaponze wenzenu ambao ilibidi wawe na familia zao ndugu, jamaa na majirani wakila nyama za mbuzi, eti wakalale segerea kwa jambo lisilo na msingi.

Mwisho wa hao akina Simba ni mwaka 2015 pale sisi emu itapofunga virago na wao watatakiwa kufungasha vya kwao..
baada ya hapo ni jela bila mashitaka na hamna kuwapeleka keko, ni segerea tu

Leo mi mwenzenu ntafunga simu tasbihi kuubwa mkononi navuta uradi na kesho wa kwanza masjid then saa tatu tatu hivi nachinja kambuzi kangu tule na jamaa zangu... halalan min twaibati

uko sahihi sana mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom