Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Tayari maandalizi yameanza. yataanzia viwanja mbali mbali na kumalizia kidongo Chekundu ambapo viongozi wa kiislam watahutubia kwa kueleza jinsi ya baraza hilo lilivyokuwa kikwazo wa wanafunzi wa kiislam.
Agenda ni kumlazimisha DK ndalichako kungoka NECTA na kufanyika uchunguzi wa kina kuhusu tuhuma za baraza la mitihani kuwafelisha wanafunzi wa kiislam
Redio imaan inatarajiwa kurusha LIVE
MY TAKE
Inawezekana hata huko Zanzibar matokeo ya wanafunzi yamechakachuliwa na NECTA. maana huko 98 ni muslim
Waumini wa dini ya kiislamu wakiandamana kwa Kile walichodai kufelishwa kwa makusudi kwa mitihani yao
Agenda ni kumlazimisha DK ndalichako kungoka NECTA na kufanyika uchunguzi wa kina kuhusu tuhuma za baraza la mitihani kuwafelisha wanafunzi wa kiislam
Redio imaan inatarajiwa kurusha LIVE
MY TAKE
Inawezekana hata huko Zanzibar matokeo ya wanafunzi yamechakachuliwa na NECTA. maana huko 98 ni muslim
Waumini wa dini ya kiislamu wakiandamana kwa Kile walichodai kufelishwa kwa makusudi kwa mitihani yao