nichofahamu baraza la mitihani huenda namba tu..! kwa hiyo kuna namba za kiislam..???
kuelewa essence ya kinachojadiliwa kabla ya kuchangia ni dalili ya great thinker. Baraza wamekiri kuwa walifanya makosa na ndo maana wakarekebisha, sasa unaweza kujiuliza ni kwanini makosa hayo yafanyike kwa somo la kiislam na kwa wanafunzi wa kiislam tu na isiwe kwenye bible knowledge. Na mambo kama hayo lazima yalete dhana mbaya kwamba yanaweza kutokea hata kwa masomo mengine.