Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
hivi kuna tofauti ya muislam na mtu?hahahhaha. Nasikia mkuu unajinyea sasa. Umekimbia hata mji. Mdomo mdomo nyumba ya maneno. Nasikia hata kariakoo sasa haukuna mtu. Wamebaki waislam tu.
hivi kuna tofauti ya muislam na mtu?hahahhaha. Nasikia mkuu unajinyea sasa. Umekimbia hata mji. Mdomo mdomo nyumba ya maneno. Nasikia hata kariakoo sasa haukuna mtu. Wamebaki waislam tu.
hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa akili!!Si kweli kimsingi hoja ya kuzuia maandamano ni kuepusha uharibifu wa hawa watu kwasababu hawaeleweki wanaweza wakawa na madai "X" kutoka kwa "B" lakini wakachoma majengo "A" yanayomilikiwa na "Y"
I acknowledgeI can assure you my English is better than your imaginations. That was a slip of fingers
kuna wakati huwa najiuliza kama kuna watu kama ndugu yetu hapo juu wanawahujumu waislam humu jf kwa kujifanya wao ni waislam kumbe lengo lao ni kuudhalilisha uislam...lakini kinachosikika kwenye radio imaan/annur/mihadhara ni hichohicho anachokisema madau hapo juu...nadhani waislam wenye busara zao inabidi waingilie kati amasivyo haya matope mashehe wanayoupaka uislam yatakuja kuifanya dini ya kiislam idharaulike kama ya wavuta bangi na wala unga tu...usidanganye watu wewe. chadema full cristian, bora ya ccm ina ahueni kuliko chadema hii
hahahah. Ndio unavyojidanganya? Hivi mkufunzi anavyotaka kumadaka mwanafunzi chuo kikuu unadhani hazitumiki number? Kwa hivyo necta hakuna majina kuna number tu. Mbona kwenye matokeo yanatoka majina?kaka,weka source,after all,hawa waandamanaji waangalie wasije wakawa kama luddism yani wanadai haki yao kwa mtu ambaye siyo sahihi,jamani mitihani inasahihishwa hainaga majina ni number tu
hahahhaha. Nasikia mkuu unajinyea sasa. Umekimbia hata mji. Mdomo mdomo nyumba ya maneno. Nasikia hata kariakoo sasa haukuna mtu. Wamebaki waislam tu.
usiokijua hutakijua maisha. Hapa mungu ameonyesha tu. Kuna mengi ndani ya necta yamejificha
Uislam ni Kama upofu baada ya kuwa brainwashed!
kinachashangaza wakiingia vyuoni wanatia aibu. Div 1 ya ndalichako haina kitu. Wanapitwa hata div 111 za waliohujumiwa. Hii ni aibu kwa ndalichako. Itabidi pawe na mkakati madhubuti wa kuficha aibu hii kwa kuwapeleka vyuo vya st
unadhani mkapa? Maana tangu jk aingie ikulu sijasaikia waislam wakiuliwa tofauti na mkapa. Hichi ndicho kinachowaumiza wakiristo wengi ndio maana kumchukia kikwete kwa kisingizio cha umaskini
mitihani yote ya kidini ifutwe, taasisi zenyewe zijutingie mitihani kwa waamini wao. Tunataka secular state
hahahha. Kumbeeeeeeeeeeeee?kumbe naongea na mtoto.