KALAMAZOO1
Senior Member
- Nov 23, 2011
- 119
- 6
Of course it is there right kuhoji matokeo ya mitihani yao, LAKINI mitihani ya bible knowledge na islamic knowledge inawasaidia nini katika soko la ajira/ joining universities. nadhani medicine/ engineering/law etc principal ya dini haisaidii kukuchagua kwenda huko, labda kwenye mikopo (division grading) , sijui. If it were me I will never make demonstration for such a thing, only table negotiations could suffice.
We unaishi dunia ipi? Kwa bible sijui lakin Islamic knowledge soko la ajira lipo tele.Kuna Islamic banking,nenda NBC,KCB,STABIC pia kuna full islamic bank inaitwa Amana hapa TZ.Pia Islamic Development Bank ndo taasisi ya pili baada ya benki ya dunia kwa ukubwa wa mtaji duniani.Sasa kama huna islamic knowledge huwezi ajiriwa huko.