Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

hoja zao zte zna PROOF,ZINAELEWEKA NA KUAMINIKA na wa2 weny akili timamu na sio wny interest zao bnafc.ww Mzee wa njaa nna hofu kua umehongwa utoe mada hi ili upunguze njaa yko.
POLE SANA BRO...
Mimi siamini kama ni waislam wote wanaolalamika kwani wale wanaojua maana ya kujituma hawana muda wa kufikiria upumbavu kama huu.Wale ambao kazi yao kubwa ni kuvizia ubwabwa wa wanachuo na kupiga soga zisizo na mpango ndio wataongea pumba kama hizi.Kama unakazania kaswida sijui na nini vile ukaacha kuzingatia masoma unapofeli lazima utafute kisingizio. Hivyo ndugu yangu safhat hebu tupe vigezo walivyonavyo hao vilaza waliofeli wanasingizia BARAZA
 
Vita hiyooo naiyona kabisa inakaribia. hupaswi kumkashifu muhmmadi S.A.W ongeeeni YOTE, lakini ni mwiko mkubwa kugusa Muhammadi S.A.W. Na huu ndio msiba mkubwa kuwahi kutokea nchi hii. Mungu ibariki DUNIA YA UMMA HUU, NA WATU WOTE
 
Nimetaka kutoa hoja but this thng z gtn 2 religious for me,nd i،ve gt no religion.
 
Mbona ukweli uko wazi kuwa waislam wengi vilaza kwa maana hawajitumi. Chukua hata individual assignment yake aliyofanya ulinganishe na za wengine hawana kitu kazi ubaguzi wao tu sasa wanasema wabara watoke zanzibar na wa pemba waende kwao mbona hamsemi wapemba na wa unguja walioko bara warudi visiwani? Waislamu wengi ukweli ni wabaguzi sana na mawazo yao ni kuonewa tu kama ambavyo wao wanwaza kuonea wakristo
 
Ukianza kutazama vitu kupitia miwani ya UDINI au UKABILA au UTAIFA au UBAGUZI wa aina yoyote ile hauwezi kuepuka kufikia conclusion ya kibaguzi. Ni jambo zuri sana kufanya juhudi ya kupanua mtazamo wako siku hadi siku
 
gezeti lenyewe wamiliki vilaza
wandishi vilaza, linasomwa na vilaza
wamekulia ktk majungu unategemea waandike nn?
badala kuwapeleka watoto wao shule zenye hadhi wanalia na seminari zao
mwishoni wanavuna mabua na kudai wameonewa.AMKENI WAISLAMU ACHENI MAJUNGU.
 
ChEzEa NECTA NYIE???
248297_101412839953283_5453573_t.jpg
 
Inavyoonekana wakereketwa wengi wa kikristo wanavamia mambo pasi na kutafakari
Waislamu siku zote wanaonekana kama ni wadini pale wanapofuatilia mammbo yao ya MSINGI
nakuombeni murejee matokeo ya kidato cha sita mwaka huu. Halafu mtajaji wenyewe kama hawa jamaa wa dufu ni vilaza au la.
 
ya waislam waachien wenyewe maana tanzania nzima waonewaji niwao cwa mtazamo wao.tena mi napenda sana government inavyocaa silent cwenye celele zao maana ni debe tupu.........................................................
 
Tuseme hesabu fizikia kemia hayo kwa mtazamo wa jumla wengi hawayawezi je hata somo la maarifa ya uislam pia Liwashinde! Wakisema mnawabeza na kuwaona si lolote si chochote
"WAISLAM KUTOKUWA NA IMANI NA NECTA NI SAHIHI KABISA"
 
Nini nafasi ya masomo haya katika kuchaguliwa kuendelea na elimu ya juu nje na mchepuo wake?
 
Mtume wao alikuwa analelewa na wazazi wa kambo. Yatima kila jambo anaona anaonewa.
.......na pia Muddy guy alikuwa hajui kusoma wala kuandika, kila kitu alikuwa anasomewa na kuandikiwa kitu ambacho kinatia shaka sana kuwa kunauwezekano vitu vingi akawa amedanganywa na mtu aliyekuwa anamsomea. Kwa hiyo tusiwashangae hawa 'Boko haramu' wanavyolalamika kuwa wanaonewa, malalamiko wamerithi kwa jamaa yao. Hata hivyo wengi wao wanajitahidi na wameendelea sana kuliko Muddy katika suala zima la elimu wamemzidi yule jamaa aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika.
 
.......na pia Muddy guy alikuwa hajui kusoma wala kuandika, kila kitu alikuwa anasomewa na kuandikiwa kitu ambacho kinatia shaka sana kuwa kunauwezekano vitu vingi akawa amedanganywa na mtu aliyekuwa anamsomea. Kwa hiyo tusiwashangae hawa 'Boko haramu' wanavyolalamika kuwa wanaonewa, malalamiko wamerithi kwa jamaa yao. Hata hivyo wengi wao wanajitahidi na wameendelea sana kuliko Muddy katika suala zima la elimu wamemzidi yule jamaa aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika.

Mudy Guy ni S.A.W kama jamaa alikuwa haju kusoma huku wao ni wafuasi wa huyo jamaa sasa wanalalamika nini? Ingekuwa vyema na wao wawe hivyo hivyo pia.
 
gezeti lenyewe wamiliki vilaza
wandishi vilaza, linasomwa na vilaza
wamekulia ktk majungu unategemea waandike nn?
badala kuwapeleka watoto wao shule zenye hadhi wanalia na seminari zao
mwishoni wanavuna mabua na kudai wameonewa.AMKENI WAISLAMU ACHENI MAJUNGU.

Lokissa,

Tafadhali soma hii hapa chini:

TUJIKUMBUSHE
“Baada ya kupatikana uhuru, Kanisa lilipohisi wasiwasi, limeweza kwa urahisi kabisa kuwazuia na kuwadhibiti Waislam. Serikali imeweza kutumia nguvu iliyokuwanayo katika kudhibiti siasa kuzuia harakati za Waislam kudai fursa sawa na Wakristo katika kugawana madaraka katika serikali. Kanisa limehakikisha kuwa kupinduliwa kwa ukoloni si kizingiti kwa Ukristo, ingawa ingetegemewa kuwa Kanisa lingeathirika kwa kuanguka kwa ukoloni. Katika miaka yake zaidi ya mia moja, Kanisa lilikuwa limestarehe kama muokozi wa nafsi na watu wenyewe. Kanisa lilikuwa salama na halikupambana na msukosuko wowote kutoka kwa serikali kwa kuwa lilikuwa Kanisa ndilo lilishika hatamu ya serikali. Baada ya kueleza hayo yote ni muhimu sasa kuangalia jinsi ukereketwa wa Kikristo unavyofanya kazi katika serikali na jinsi kazi hiyo inavyoathiri Uislam. Wizara ya Elimu inachukuliwa kama mfano kwa sababu ya umuhimu wake katika jamii. Katika wizara hii, inaweza kuonekana kwa uwazi kabisa jinsi Ukristo unavyofanya kazi na jinsi udini ulivyoshamiri katika kugawa nafasi muhimu kati ya Waislam na Wakristo. Ilikuwa katika wizara hii katika historia ya Tanzania ndipo kwa mara ya kwanza waziri Muislam alipochaguliwa kuongoza wizara, Kanisa likaingilia kati waziwazi kumpiga waziri vita na kuhoji nafasi nyingine za juu ambazo zilipewa Waislam. Serikali haikuweza kupingana na Kanisa na waziri huyo, marehemu Profesa Kighoma Ali Malima aliondoshwa katika wizara hiyo. Mwaka 1987 Profesa Malima aliteuliwa kuwa Waziri wa Elimu akiwa Muislam wa kwanza kushika nafasi hiyo. Mawaziri 8 waliopita walikuwa Wakristo. Kulikuwa na malalamiko kutoka kwa Waislam kuwa wizara hiyo imegeuzwa jimbo la Wakristo, hasa pale padri alipoteuliwa na Julius Nyerere kuongoza wizara hiyo. Profesa Malima aliposhika wizara hiyo aliona upo umuhimu wa kufanya marekebisho kadhaa ili kurejesha imani ya Waislam katika serikali na wizara hiyo. Kulikuwa na tuhuma kuwa Wizara ya Elimu ilikuwa ikiwabagua vijana wa Kiislam kupata nafasi katika vyuo vya elimu ya juu na ilikuwa ikizuia kupanda vyeo kwa Waislam. Profesa Malima alipoona dhulma ile iliyokuwapo katika wizara ile dhidi ya Waislam, Profesa Malima aliwateua Waislam 4 kushika nafasi katika kurugenzi mbalimbali na akaandika taarifa ya siri kwa Rais Ali Hassan Mwinyi kumtaarifu udini alioukuta katika wizara ile. Katika taarifa ile kwa rais, Profesa Malima alieleza kuhusu kudumazwa kwa Waislam katika mgao wa elimu. Taarifa hii ilivuja kwa vyombo vya habari[1] na kwa Wakristo wengine. Katika watu walioipata taarifa hii ni Rais Mstaafu Julius Nyerere wakati ule akiwa Mwenyekiti wa chama tawala CCM.” Kutoka kitabu: “Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes…”
 
Inavyoonekana wakereketwa wengi wa kikristo wanavamia mambo pasi na kutafakari
Waislamu siku zote wanaonekana kama ni wadini pale wanapofuatilia mammbo yao ya MSINGI
nakuombeni murejee matokeo ya kidato cha sita mwaka huu. Halafu mtajaji wenyewe kama hawa jamaa wa dufu ni vilaza au la.

Unataka wafaulishwe kwa uislamu wao? mbona mnataka kuufanya uislamu kuwa delicate kuzidi yai!!!!! wanalazimisha mpaka ilmu duniya!! wakazanie ilmu akhera bwana!! hii dunia wawaachie kina john teh teh teh
 
Back
Top Bottom