SIR JAPHET
Member
- Mar 21, 2011
- 31
- 6
Atuambie ni mitandao gani uliwekwa huo waraka?Na kwanini haukupatikana humu JF?Hao si ndio wale walioandamana kupinga mgomo wa madr?wanaacha kusoma wanakubali kutumiwa na wakina Nape.Nimeanza kuelewa kwa nini CCM walianzisha hii mitandao mavyuoni.
huyu dogo asenga alidai kasimamishwa masomo chuon mwl. nyerere kwa kudai refund ya fedha za matibabu.kumbe hata yeye anasimamishwa