Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

Uji wa tapo?
please nielimishe hapo

Boss haya mambo ya maakkul niachie, Uji wa tapo shurti unatiwa ndimu na ukwaju, ukiunywa lazima useme wataka tena na tena.

Huu wa sukari, hufanya ladha ya juice ya ukwaju kwa mbaali!

:)
 
Boss haya mambo ya maakkul niachie, Uji wa tapo shurti unatiwa ndimu na ukwaju, ukiunywa lazima useme wataka tena na tena.

Huu wa sukari, hufanya ladha ya juice ya ukwaju kwa mbaali!

:)


mhhh mhhh mpaka hapo tu udenda wanitoka lol
 
Hii ni kweli aisee..hata jirani anaweza kuja one kusalimia!! tena usilogwe kutuma watoto waseme haupo, watafikisha taarifa mama/baba yupo chumbani ila kasema hayupo..he he aibuu!!
 
Kumbe mwaka 2011 i was more clever. back to topic ...ngoja ufilisike uone kama utasikia hodi mwako.
 
ni kweli wageni wengine wamekuwa kero kwani wanaharibu mipango yako mizima ya siku hiyo isitoshe wanavuruga hata ratiba zako ambazo umejiwekea, sijajua kwanini wageni wengine hawapigi simu a kusema kuwa wanakuja kwako ili ujiandae kwa mambo ya msosi hawajui siku watu wanaishi kwa bajeti ya kitz wao wanafikiri ni dhama za mawe hizi, au karne ya 18-19, mm mwenyewe naboreka ingawaje inanibidi niwachukulie hivyo vivyo
Upo nyumbani kwako umepumzika,ni wikiendi au sikukuu
kama leo.una mipango yako binafsi
labda unataka kulala tu siku nzima
au kutoka na mkeo/mumeo bf/gf so mnavuta vuta mda hivi....

ghafla bin vuu wanaibuka 'wageni ' pengine ndugu zako au wa mwenzio
au tu marafiki na jamaa, wamekuja 'kukutembelea' au
'kusheherekea sikukuu' labda wamekuja na 'watoto wao'
na muelekeo wao ni kushinda hadi jioni ndo warudi makwao.....

dah jamani mimi hili huwa linanikera mno....
siku hizi si kuna simu????inakuwaje jamani??????

nyinyi ikiwatokea mnafanya nini?????????
 
Ni mda muafaka watu kuanza kubadilika. Siku hizi kuna simu na mawasiliano mengine mengi tu. Ni vizuri kutoa taarifa mapema kwa mtu unaetegemea kumtembelea, maana hujui ratiba yake na amepanga nini siku hiyo. Kuishi katika 'stone age' kumeishapitwa na wakati. Tunapaswa kubadilika.
 
Kama ni ndugu zangu nawapa live... we were about to go out unless ni mtu mzima n aye mheshimu sana (level ya mama au baba)
Kama ni ndugu zake na nina wamudu mfano wifi pia nawachana live tu... wifi hupigi simu...? Basi make urself at home si tunatoka muda si mrefu. Kesho harudii tena!
kama ni ndugu zake anaowamudu I expect him to take charge na kuwaeleza ki staarabu kuwa we had other plans... unless ni mtu mzima kama mama yake etc
 
Kama uni ndugu zangu nawapa live... we were about to go out unless ni mtu mzima n aye mheshimu sana (level ya mama au baba)
Kama ni ndugu zake na nina wamudu mfano wifi pia nawachana live tu... wifi hupigi simu...? Basi make urself at home si tunatoka muda si mrefu. Kesho harudii tena!
kama ni ndugu zake anaowamudu I expect him to take charge na kuwaeleza ki staarabu kuwa we had other plans... unless ni mtu mzima kama mama yake etc

How old are u?
 
halafu simu wanazo na namba yako wanaijua...


Afadhali hawa wanaokuja kushinda bila taarifa. Wapo wengine huwa wanazuka tu na kujipangia kuwa watakaa siku kadhaa kwako bila kujua hali ya mfuko wako ikoje. Wengine wakiona maisha yamewashinda, basi wanahamishia watoto wao kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom