Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

He he, kama hujaoa pole. Sasa hivi utatangaza ndoa kati ya hao wa2
kweli nna mpango wa kuoa lakini hawa si type yngu.

Huyu wa kwanza ni mzuri ila mnene not my type.
Huyu mdogo mtu aliekuja juzi havutii kabisa asee.
 
Anaogopa/wanaogopa kwenye simu unaweza mtafutia sababu ya kumkwepa, ndio maana anastukiza/wanastukiza ugeni
 
Siyo uchoyo. Ni hali halisi tu ya maisha.

Piga picha kila weekend una wageni ambao wanakuja unannounced. Hapo lazima bajeti ivurugike unless you have an unlimited supply of money. But some of us budget everything including money for leisure. I don't like spending my hard earned money on things I haven't budgeted for...

hapa nimekuelewa!
 
Hii thread inaonesha ni jins gani siku hizi binadamu hatupendani, yan ukimwona binadamu mwenzio anakuja kwako basi tu unaona kero..
 
Acheni roho mbaya,MTU kaacha yake mangapi kaja kwako,mpenzi kilichopo kama hamna ongezea,mtakosaga malaika huko kwenu
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom