kwani we Erickb52 unaishi wapi ipo maeneo ya sinza makaburini mbele kido kabla hujafika bamaga
Hilo ndio chimbo jipya auAcha kuhangaika huko! Njoo hapa viwanja vya Mabibo hostel night.
Acha kuhangaika huko! Njoo hapa viwanja vya Mabibo hostel night.
kwani we Erickb52 unaishi wapi ipo maeneo ya sinza makaburini mbele kido kabla hujafika bamaga
Viwanja vya Mabibo Hostel viko huku Ubungo.Makazi ya madenti UD
Huko mida ya usiku sinaga umaarufu....nshakusoma...ntapatembelea nikija next time
mimi sio mkazi wa Dar.lakini mara nyingi kila nakifika jijini lazima nipitepite kwenye maeneo ya burudani kuosha macho si unajua tena mikoani vumbi sana.lakini mara nyingi nikienda pale kona bar huwa na duwaa sana nikiwaona wadada poa wa pale lakini pale kuna wadada wa wazuri huwezi amini wana mvuto ajabu.hivi wale kweli wanajiauza au matapeli.manake hata bei sijawai kuuliza.kama kuna wajanja wa pale mnipe maujanja jinsi ya kuwaingia manake naishiaga tu kula kwa macho.
hapa ni jijini...
utapeli ndo umeota mizizi...
ila wanalika...
paki mbali watakuja tu...
alafu nenda kachinjie mbaaali sio guest anayotaka yy...
na ucthubutu kumpeleka geto...
atakukusanyia watu asubuhi akidai hela zaidi...ova!
asante mkuu umenisaidia kwenye kumtoa mbali na maeneo husika.. .tatiza watu wale mshipa wa aibu hawana kama wanao utakua umeziba.....
mkuu mikoa yote inavumbi.! kama ni starehe dar ndio top labda uko mkoa gani kunakoendana na dar