Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Sasa hujaelewa niliposema kwamba kuridhika kitandani inategemea na mtu??
Na mfano nikakupa wa huyo kaka ambae haridhiki kwasababu hafanyiwi anachotaka...kwa maana hiyo kila mtu ana anachotaka/penda na kutopata kwake ndiko kunakoamua kwamba ataamua kuridhika au la!!!Na swali lako la kama mtu atatoka asiporidhika pia nilijibu bila wewe kuuliza kwenye huo huo mfano.....''kaka anataka kutoka'' kwahiyo wapo watakaoenda kwingine na wengine labda watavumilia.
Unless sasa unataka nijibu kuhusu mimi binafsi nadhani maswali yako yamejibiwa!!
Umejitahidi kujibu, hongera!
kama ulivyosema kuridhika ni relative, huwezi kujua chungu kama hujawahi kuonja tamu! unaweza ukatoa ufafanuzi hapa.. ninashawishika kuamini kuwa huyu mpenzi wako wa kwanza anaweza kuwa mume/mke ikiwa tu hukuwahi kuonja nje kufikia hatua ya ku-compare performance!