Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
Na wale wasio na mpango wa kuolewa??Nwyz kwa hao unawatarget ndio ni sahihi kusema hapana kabla ya ndoa..ila ili kuepuka mishangao na migogoro isiyo ya lazima linapokuja swala la mapenzi ndani ya ndoa inabidi watu wajuane kabla!Hii ni sababu moja wapo ya kutoka nje ya ndoa...watu wanakua hawaridhishani kitandani kwahiyo wanatafutiana wasaidizi!