figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
ameacha mtoto wa miaka sita.mmewe ndo mwenyekiti wa wachina tanzania.na ndiye msimamizi wa kampuni ya t-better pikipiki.mumewe kalia sana.baba yake na mwanamke aliye uwawa alikuwepo.alikuwa anakaa na mkwewe.aliyekufa anaitwa (hanchwin) sijui inavyo andikwa lakini ndivyo walikuwa wanaitamka.mi nlijua watazika,lakini nilipoulizwa watazika wapi nikaambiwa mwili wataenda kuuchoma kwa maandamano.maandamano yao yameanza saa sita mchana.
R.I.P.
mia
R.I.P.
mia