Wachina hawafungui maduka leo huruma

Sitashabikia kuuawa kwa binadamu yoyote kwa sababu yoyote. Ingekuwa vizuri zaidi wakajilinda, wasitegemee polisi wa bongo kwani kuna baadhi yao wana connections za ujambazi. You can always pack the heat!!... wakikuwahi poa, ukiwawahi ndio hivyo tena.
 
Hivi wewe unafikiri Serikali ya China ikisimamisha biashara na Tz japo kwa week moja uta survive?
Au wakisitisha kutoa Viza kwa watanzania unafikiri Uchumi utaenda?
Usiongee na kutota kauli zisizo na msingi, Chinese wanagombaniwa na mataifia makubwa, ni sisi Tanzania ndio tunaona hawafai.

Nenda kamuulize Obama, Cameron or Waziri mkuu wa Japan ndio watakueleza umuhimu wa Wachina.

We need to protect wageni, ili nao watuheshimu. Lakini tukiendelea na fikira zile za zamani wa huyu mweupe au mchina basi tuwadhulumu au kuwanyayasa, tutaachwa na kuendelea na porojo zetu za umasikini.
Mimi Napinga na kulaani kabisa haya yaliyotokea! Lazima tuwaheshimu na kuwashukuru wachina mana wamesaidia kuleta maisha rahisi, unafikiri bila wao leo hee watanzania wangapi wangekuwa na uwezo wa kuwa na computers, simu etc? mana bei zake zingekuwa hazishikiki...Japo tunaona quality hazifai lakini wachina wanasaidia maisha yanaendelea!
U r such a JOKER.
Hivi hao Wachina hizo computers na bidhaa zao duni ambazo mara nyingi sana wanaprefer kuzileta huku Afrika WANATUPA BURE au tunazilipia?hivi hudhani wakifunga milango ya biashara ni wao ndio watakaoathirika zaidi kuliko sisi kutokana trade deficit ambayo ipo tayari?na ni bidhaa upi special ambayo China wanayo ambayo haipatikani sehemu nyingine yeyote?
 
Hivi wewe unafikiri Serikali ya China ikisimamisha biashara na Tz japo kwa week moja uta survive?
Au wakisitisha kutoa Viza kwa watanzania unafikiri Uchumi utaenda?
Usiongee na kutota kauli zisizo na msingi, Chinese wanagombaniwa na mataifia makubwa, ni sisi Tanzania ndio tunaona hawafai.

Nenda kamuulize Obama, Cameron or Waziri mkuu wa Japan ndio watakueleza umuhimu wa Wachina.

We need to protect wageni, ili nao watuheshimu. Lakini tukiendelea na fikira zile za zamani wa huyu mweupe au mchina basi tuwadhulumu au kuwanyayasa, tutaachwa na kuendelea na porojo zetu za umasikini.
Mimi Napinga na kulaani kabisa haya yaliyotokea! Lazima tuwaheshimu na kuwashukuru wachina mana wamesaidia kuleta maisha rahisi, unafikiri bila wao leo hee watanzania wangapi wangekuwa na uwezo wa kuwa na computers, simu etc? mana bei zake zingekuwa hazishikiki...Japo tunaona quality hazifai lakini wachina wanasaidia maisha yanaendelea!

tell me this is a joke
 
kwao kuandamana hakuruhusiwi sasa hapa itakuwaje ?

Nani kakuambia hakuruhusiwi kaka? Sasa nyie kila kitu mnategemea kutoka China hapo mlipo wakisema sasa wanabana mtafika wapi? hiyo ni hali ya kawaida jamani na bila hao wachina sisi tungekuwa hoi kabisa tushukuru hata wachina maana ulaya siku hizi hakushikiki na uchumi wenyewe umedolola kabisaaaa
 
Watanzania kwa kudharau utadhani wao wanafanya vizuri kumbe hamna lolote kazi kukaa na kupiga majungu tu! Bila China NO Tanzania, NO Africa! Ulaya/marekani are no longer with us economically. Kila siku watz wanapanda Ethiopian Airways kwenda Guangzhou na miji mingine kununua bidhaa za madukani nk, hata zile mnazozifuata Dubai kwa taarifa yenu zinatoka China. Hakuna mtu siku hizi anapanda ndege kwenda kufunga bidhaa ulaya ama marekani. Na soon Yuan itakuwa powerful currency kwenye soko la dunia. Mwaka jana mwezi wa 9 Dola Moja ilikuwa sawa na Yuan 6.73 ya China na sasa dola moja ni yuan 6.4! Sasa Tanzania kuweni makini mkiwakorofisha hawa jamaa mtakiona cha moto! Halafu hawa jamaa wako mbali sana kiuchumi, miundo mbinu, elimu, usafiri wa ndege, mabasi, reli, nk! Halafu maisha yao ni simple sana msione kwa vile mnawaona kariakoo mkajua wamefulia sana, huku kwao wanamamilioni benki
 
R.I.p Mchina
Je alipokwapuliwa 30m, ulipaji wake wa kodi nao ukoje, na kwa nini hakuomba ulinzi wa polisi, nafikiri wawekezaji wote , wakipewa leseni kitu kimoja wakumbushwe kiwango cha pesa wanazo weza safiri nazo au kutembea nazo kinyume cha hapo ni uvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama wao, kwanini transaction nyingi wasifanye online, kwa cheque, credit card/debit card si wao wanatoka mataifa yalio endelea?
 
Unaendekeza sana ubaguzi, hao Wachina na Wahindi wakiuliwa wewe unadhani ndio utapata ajira au mtaji?
 
U r such a JOKER.
Hivi hao Wachina hizo computers na bidhaa zao duni ambazo mara nyingi sana wanaprefer kuzileta huku Afrika WANATUPA BURE au tunazilipia?hivi hudhani wakifunga milango ya biashara ni wao ndio watakaoathirika zaidi kuliko sisi kutokana trade deficit ambayo ipo tayari?na ni bidhaa upi special ambayo China wanayo ambayo haipatikani sehemu nyingine yeyote?
Wacha urongo, asilimia kubwa ya bidhaa za soko la bongo ni mchina type wakistopisha tutafutana hapa. Kuna kipindi walitia ugumu kidogo kupata vissa watz walihaha na wengi wakaenda kuzifata Uganda. Lazima tujiandae ipasavyo kabla ya kuwakataa wachina. Majambazi mlioko humu jf dont kill.
 
U r such a JOKER.
Hivi hao Wachina hizo computers na bidhaa zao duni ambazo mara nyingi sana wanaprefer kuzileta huku Afrika WANATUPA BURE au tunazilipia?hivi hudhani wakifunga milango ya biashara ni wao ndio watakaoathirika zaidi kuliko sisi kutokana trade deficit ambayo ipo tayari?na ni bidhaa upi special ambayo China wanayo ambayo haipatikani sehemu nyingine yeyote?
Wacha urongo, asilimia kubwa ya bidhaa za soko la bongo ni mchina type wakistopisha tutafutana hapa. Kuna kipindi walitia ugumu kidogo kupata vissa watz walihaha na wengi wakaenda kuzifata Uganda. Lazima tujiandae ipasavyo kabla ya kuwakataa wachina. Majambazi mlioko humu jf dont kill.
 
KUFA KWA MCHINA AU MTZ NI KIFO KILEKILE TU WOTE MNAENDA DUNIA KUU. SASA MI NLIFIKILI WANAANDAMANA KUTAKA RAIS AU KOVA AU W/USALAMA WA RAIA WAJIUZULU? Kwa kushindwa kuwasimamia ulinzi ipasavyo Ingekuwa vizuri sana nina imani kwao china kama majambazi yanafanya matukio zaidi ya mara moja na hawajamkamata waziri anaachia ngazi lkn huku uzaramuni? Jambazi hata auwe nani anapeta tu.
 
Kwanini wasirudi kwao kwenye usalama zaidi? Hivi serikali ina data kujua wanalipa kodi kiasi gani? Je, wote hao wana vibali halali vya kuishi na kufanya biashara Tanzania?

mkuu bongo headache tu ukichunguza sana wametuona mambwiga ndio maana wakafanya hivyo..
 
Wacha urongo, asilimia kubwa ya bidhaa za soko la bongo ni mchina type wakistopisha tutafutana hapa. Kuna kipindi walitia ugumu kidogo kupata vissa watz walihaha na wengi wakaenda kuzifata Uganda. Lazima tujiandae ipasavyo kabla ya kuwakataa wachina. Majambazi mlioko humu jf dont kill.
Stop being simple minded. Hizo bidhaa wanatupa Kama msaada au tunanunua kwa pesa yetu? Sasa kaa hujui kaa biashara ni 2 way traffic kajifunze commonsense kwanza. Usipoteze muda kujibu posts usizozielewa.
 
Back
Top Bottom