Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Molemo bana, hebu mrudishie kwanza million moja Yule mbunge uliyemkopa mwaka Jana mpaka Leo unajifanya huelewi!!!
Hizi ni tabia za wanaume wenye Oestrogene nyingi kuliko Testosterone!
Molemo bana, hebu mrudishie kwanza million moja Yule mbunge uliyemkopa mwaka Jana mpaka Leo unajifanya huelewi!!!
Taarifa + Tuntemeke =Kova
Hizi ni tabia za wanaume wenye Oestrogene nyingi kuliko Testosterone!
Mchawi sio mpaka aruke usiku na ungo,mleta mada ni mchawi na mzandiki hana jipya.
katika uzi wote umetaja majina mawili Dr.Slaa na bi Josephin nafikiri ndio lengo lako kuu.
taja majina ya hao wabunge pamoja na ushahidi wa kuaminika
Ni kweli mkuu wangu.Unanikumbusha biology ya Old Moshi
Ndio obsession yake hiyo. Kila akilala na kuamka yeye ni Slaa na Josephine tu basi!
Kama mnamjua Mbona hamumtimui?!siuseme tu mmekamatwa pabaya kwani nyinyi mmekua malaika hamkosei !Hana ubunge wowote.Niamini maana ninamjua lakini kwa bahati mbaya mimi hanijui.Huyu ni mbeba box na mpika majungu mkubwa.Kamwe CDM haiwezi kupitisha mwendawazimu kugombea ubunge.
Hana ubunge wowote.Niamini maana ninamjua lakini kwa bahati mbaya mimi hanijui.Huyu ni mbeba box na mpika majungu mkubwa.Kamwe CDM haiwezi kupitisha mwendawazimu kugombea ubunge.
Kudhibiti wizi wake pale makao makuu imekuwa kigezo cha kumshambulia rais Mtarajiwa Dr Slaa kila mara.Lakini tunamjua anayemtuma kutukana viongozi mtandaoni na kushambulia chama.Kwa mara nyingine tena namshauri aangalie kura ya maoni hapa JF kati ya Dr Slaa Vs Zitto.Anajisumbua bure kamwe hataweza kumzuia Dr Slaa kuingia Ikulu.