TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Katika hali ambayo sio ya kawaida wabunge wa CHADEMA walaani kitendo cha chama chao kuwalazimisha watoe sh mil2.1 kwa kila mbunge wa CDM kwa ajili ya mchango wa M4C inayoanza leo mikoani. Wabunge hao wanasema kwamba mbona chama kina ruzuku ya zaidi ya mil 250 kwa kila mwezi na pia wabunge pia huchangia kila mwezi chama lakini pesa hizo zinaishia kuwalipa mishahara minono wakurugenzi pamoja na katibu mkuu anayelipwa mshahara zaidi na mil 7 kwa kila mwezi.
Pia wabunge hao wanalalamikia magari yao na wao wenyewe kuhudhuria mikutano hio wakati vipindi vya budget vikiendelea bungeni kwa sasa.wanalalamikia
a.kwa nini chama hakitambui mchango wao bungeni na sasa wanalazimishwa kutohudhuria vipindi vya bunge?
b.pesa ya ruzuku inakwenda wapi?
c.kwa nini hao wakurugenzi na katibu mkuu wasifanye hio kazi angali wanapata mishahara minono?
d.kwa nini pesa ya ruzuku inatumika sana kwa ziara ya mchumba wa slaa mikoani wakati hana cheo chochote ndani ya chama?
e.kazi ya wakurugenzi wa chama ni nini zaidi ya kugawana posho na mishahara na majungu yanayopikwa pale chamani dhidi ya wabunge wao?
Mwisho wanaomba chama kuwa makini na matumizi ya ruzuku ya chama na michango ya wahisani kuliko kufanya ujasilia mali wa kisiasa kama wanavyofanya sasa.
Pia wabunge hao wanalalamikia magari yao na wao wenyewe kuhudhuria mikutano hio wakati vipindi vya budget vikiendelea bungeni kwa sasa.wanalalamikia
a.kwa nini chama hakitambui mchango wao bungeni na sasa wanalazimishwa kutohudhuria vipindi vya bunge?
b.pesa ya ruzuku inakwenda wapi?
c.kwa nini hao wakurugenzi na katibu mkuu wasifanye hio kazi angali wanapata mishahara minono?
d.kwa nini pesa ya ruzuku inatumika sana kwa ziara ya mchumba wa slaa mikoani wakati hana cheo chochote ndani ya chama?
e.kazi ya wakurugenzi wa chama ni nini zaidi ya kugawana posho na mishahara na majungu yanayopikwa pale chamani dhidi ya wabunge wao?
Mwisho wanaomba chama kuwa makini na matumizi ya ruzuku ya chama na michango ya wahisani kuliko kufanya ujasilia mali wa kisiasa kama wanavyofanya sasa.