Katika kile kinachoonekana kuwa wabunge wengi wa sisiemu wamechoka kufanywa mabwege leo katika kuhitimisha kipindi cha kwanza cha bunge mbunge huyo amesema wezi ni mawaziri waliowengi wala wizi hauko katika halmashauri kama inavyosemwa.lukuvi kama kawaida yake kasimama kupinga hilo tamko na akamuomba ndunga amuamuru filikunjombe atoe ushahidi kwa maandishi kwa kila waziri anaemtuhumu.
Hii ni ishara kua baadhi ya wabunge wamekwiva kutokana na sera za wabunge wa chadema kutokua waoga na kusima kidete na waziwazi bila uoga,kama ni mwizi aitwe mwizi hakuna kubana pua wala wala kumuangalia nyani usoni. Magamba kazi kweli kweli mwaka huu, sijui kama watatoboa mpaka 2015
Hii ni ishara kua baadhi ya wabunge wamekwiva kutokana na sera za wabunge wa chadema kutokua waoga na kusima kidete na waziwazi bila uoga,kama ni mwizi aitwe mwizi hakuna kubana pua wala wala kumuangalia nyani usoni. Magamba kazi kweli kweli mwaka huu, sijui kama watatoboa mpaka 2015