Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Vasco daggama atakuja lini? Mimi nawashauri ikulu wamweekee recording ya leo bungeni ili na yeye asikilize
hapa tunaibiwa mchana kweupe eti lukuvi naye anatetea upuuzi eti wazirii wa fedha yupo washington DC
from the look of thing and if Joni woKa hata ingilia, basi upepo wa kus unavuma kama utanihawawezi kumpigia kura waziri mmoja kutokuwa na imani naye; kama tatizo lao ni serikali njia pekee - na ndio NJIA PEKEE - ni hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (ndiye mwakilishi wa serikali). Tuone haw wabunge wa CCM kama watapiga kura hiyo.
kama kweli wanaona serikali haiendi si wapige kura ya kutokuwa na imani na wazirimkuu ili ajiuzulu na baraza la mawaziri libadilishwe?
Elimu ielekezwe vijijini Kwa nguvu na umakini, na lengo lisiwe kuiondoa CCM Bali lengo liwe kuuondoa udhalim popote ulipo, iwe ndani ya chama kinachotawala AMA vyama vinavyopigania kutawala kuna.Kwa waliofuatilia bunge jana jioni watakuwa wamesikia kilio cha wabunge wakidai mafisadi wanaojinufaisha kwa raslimali za Taifa hili wanyongwe tena ikiwezekana pole pole ili wasife haraka. Na mmoja akaomba wapigwe risasi hadharani!
Lililo kubwa zaidi ni pale Magamba walipotangaza rasmi 2015 hawana chao! Maana pamoja na kwamba kauli ya Zambi siyo ya Msemaji wa Chama ila kwa maneno yake kwamba tusishangae 2015 CCM ikapoteza utawala ni ishara kwamba tayari Nguvu ya Umma inaanza kueleweka vizuri!
Wadau sasa ni wakati muafaka kuendeleza mapambano! Ukisikia Mh. Selukamba anadai Bunge halijawahi kufanya kazi yake na hata Raisi hawezi kuwatimua kazi Mawaziri wazembe! Tunasubiri nini kama si kueneza elimu ya Uraia ili 2015 mageuzi ya kweli yapatikane!
Imagine deni la Taifa leo ni 14Trilioni bajeti ni 13Trilion. Uchumi unakuwa kwa 6% wakati deni linakuwa kwa 36%! Mh. Keissy anadai wanetu na hapa nadhani hata wale walioko viunoni nao wakitoka wanadaiwa!
Enough is enough! Lets be part of change! Its now time for change! M4C
Naomba kuwasilisha!
Source: Bunge tarehe 18.04.2012 kama lilivyorushwa live na TBC baada ya kipinddi cha maswali na majibu!