OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
Nakipenda chama cha mapinduzi lakini siwapendi baadhi ya wanachama na hasa viongozi wake kwa kuwa wamejaa unafiki tu.
Inashangaza na hadi nashindwa elewa kama kuna mtu anaejua nini hasa majukumu yake na nguvu alizonazo kwenye nafasi anayoiongoza.
Wewe ni mbunge kazi yako ni kulalamika tuuu bila kuchukua hatua za kurekebisha matatizo yanayowakabili wananchi.
Nashangaa wabunge wameletewa taarifa ya ubadhirifu wa serikali na wao wanaanza kupiga kelele tu bila kuchukua hatua.
Ina maana hawajui wapo bungeni kufanya nini?
Au wanakuwa kama nyumbu,akisimama wa kwanza kulalamika na wao wanafuata mkumbo tu.
Taarifa za ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG zinatoka kila mwaka.na hatua "kali" zaidi kuchukuliwa ni watu kuhamishwa kituo tena unatolewa kishapu unaadhibiwa kwa kupelekwa rombo kwa cheo kile kile....kuna mtu mwenye akili timamu hapa?
mwananchi akisoma taarifa hii atalalamika...
Na mshangao wa mwaka hata viongozi nao wanalalamika tuuu.
OTIS
Inashangaza na hadi nashindwa elewa kama kuna mtu anaejua nini hasa majukumu yake na nguvu alizonazo kwenye nafasi anayoiongoza.
Wewe ni mbunge kazi yako ni kulalamika tuuu bila kuchukua hatua za kurekebisha matatizo yanayowakabili wananchi.
Nashangaa wabunge wameletewa taarifa ya ubadhirifu wa serikali na wao wanaanza kupiga kelele tu bila kuchukua hatua.
Ina maana hawajui wapo bungeni kufanya nini?
Au wanakuwa kama nyumbu,akisimama wa kwanza kulalamika na wao wanafuata mkumbo tu.
Taarifa za ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG zinatoka kila mwaka.na hatua "kali" zaidi kuchukuliwa ni watu kuhamishwa kituo tena unatolewa kishapu unaadhibiwa kwa kupelekwa rombo kwa cheo kile kile....kuna mtu mwenye akili timamu hapa?
mwananchi akisoma taarifa hii atalalamika...
Na mshangao wa mwaka hata viongozi nao wanalalamika tuuu.
OTIS