Wabunge wa CCM mnawachezesha Watanzania "kwata" la akili!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
39,997
Sipendi sana mazingaombwe:

Chama chenu
Serikali yenu
Sera zenu
Sheria mtunge nyinyi
Vyombo vya usalama vyenu
Watendaji mteue nyinyi
Majaji wote mmeteua nyiyi
Wakuu wote wa vyombo vya usalama mmewatua nyinyi
Mwanasheria Mkuu wenu
DPP wenu
Ikulu yenu
Bunge lenu
Mawaziri wote wenu
Manaibu wote mawaziri wenu

LAKINI MNA UJASIRI WA KURUKA KIMANGA KANA KWAMBA SERIKALI IMEUNDWA NA CHADEMA na wapo watu katika akili timamu kabisa wanafurahia haya maonesho yenu!! Kama kweli leo mmefunguka na kukombolewa kifikra basi fungeni kamili! Fungeni na mtoke kwenye giza na kuja kwenye mwanga. Hamhitaji kusubiri 2015! Jiuzuluni leo hii ili mjipe nafasi na kuhesabiwa! Vinginevyo, watacheza kwata wale wenye kuamini mnaweza kuwapigisha kwata la akili!!


HAYA YALIKUWA 2008 - SIKILIZENI KWA MAKINI WANAYOSEMA WABUNGE WA CCM HALAFU MSEME KAMA LEO WAMEFUNGUKA?


[video=youtube_share;Uvpaxg1ksr4]http://youtu.be/Uvpaxg1ksr4[/video]

[video=youtube_share;43uIv7_VSnY]http://youtu.be/43uIv7_VSnY[/video]
 
Sipendi sana mazingaombwe:

Chama chenu
Serikali yenu
Sera zenu
Sheria mtunge nyinyi
Vyombo vya usalama vyenu
Watendaji mteue nyinyi
Majaji wote mmeteua nyiyi
Wakuu wote wa vyombo vya usalama mmewatua nyinyi
Mwanasheria Mkuu wenu
DPP wenu
Ikulu yenu
Bunge lenu
Mawaziri wote wenu
Manaibu wote mawaziri wenu

LAKINI MNA UJASIRI WA KURUKA KIMANGA KANA KWAMBA SERIKALI IMEUNDWA NA CHADEMA na wapo watu katika akili timamu kabisa wanafurahia haya maonesho yenu!! Kama kweli leo mmefunguka na kukombolewa kifikra basi fungeni kamili! Fungeni na mtoke kwenye giza na kuja kwenye mwanga. Hamhitaji kusubiri 2015! Jiuzuluni leo hii ili mjipe nafasi na kuhesabiwa! Vinginevyo, watacheza kwata wale wenye kuamini mnaweza kuwapigisha kwata la akili!!
I love JF. Hakika MM umenena ya msingi. Tunahitaji muda kuwaamini hawa wabunge wa chama cha mapinduzi ili tujuwe kama kweli wameamua kukipindua chama chao. Maana tulishawahi kuwa na G55, vilevile tulishakuwa na wapambanaji wakati wanaopambana nao ni mabosi wao... KUWASHINDA NI NGUMU. Wengine walitaka kuanzisha CCJ lakini bado wapo kule kule... Siyo wa kuwaamini kirahisi hawa
 
Tukio la leo ndani ya bunge,si la kawaida hata kidogo na litabaki katika kumbukumbu,ufisadi uliotolewa hadharani hakika umewafanya hata hao wabunge wa ccm kugundua kwamba kelele za wapinzani huwa zinaashiria ukweli halisi,
Na impact ya kule Arusha kwa Ole millya na jinsi tukio hilo lilivyopokewa na jamii, na hasa inapoashilia anguko la kigogo Ole sendeka jimboni kwake simanjiro toka kwa millya CDM.
Huku wao wakikomaa mikono kwa kuchubua meza za bunge kupiga ndiooo!,na yule anayewaharibia pamoja na aliyemteua wote wanakula kuku ughaibuni kila mtu nchi yake.
*wamekaa kila mmoja ametafakari na akachukuwa hatua kwamba bora UBUNGE kuliko ukerketwa!,na sasa ndio wamegundua kwamba gari walilopanda Dereva wake haoni vizuri,kondakta anawazidishia nauli na turn boy amelewa na hawezi kuziba pancha.
KILICHOJILI, SASA,kila mmoja sasa ameamua kuchukua maamuzi magumu kwa manufaa ya familia yake maana basi walilomo linaelekea kupata ajali kama ya lile basi maarufu la kenya lililotumbukia shimoni maarufu kwa jina la KANU likiendeshwa wakati huo na Dereva maarufu Moi.
 
Sipendi sana mazingaombwe:

Chama chenu
Serikali yenu
Sera zenu
Sheria mtunge nyinyi
Vyombo vya usalama vyenu
Watendaji mteue nyinyi
Majaji wote mmeteua nyiyi
Wakuu wote wa vyombo vya usalama mmewatua nyinyi
Mwanasheria Mkuu wenu
DPP wenu
Ikulu yenu
Bunge lenu
Mawaziri wote wenu
Manaibu wote mawaziri wenu

LAKINI MNA UJASIRI WA KURUKA KIMANGA KANA KWAMBA SERIKALI IMEUNDWA NA CHADEMA na wapo watu katika akili timamu kabisa wanafurahia haya maonesho yenu!! Kama kweli leo mmefunguka na kukombolewa kifikra basi fungeni kamili! Fungeni na mtoke kwenye giza na kuja kwenye mwanga. Hamhitaji kusubiri 2015! Jiuzuluni leo hii ili mjipe nafasi na kuhesabiwa! Vinginevyo, watacheza kwata wale wenye kuamini mnaweza kuwapigisha kwata la akili!!

Siku zote walikuwa wapi?Lakini ktk baadhi ya wabunge Wa ccm walikuri udhaifu wao oohhh"tuamke sasa kuwatumikia wananchi"ooohhh wananchi watatushangaa"na mengine ya kufanana hivyo,mimi nnawauliza walikuwa wapi wanakumbuka kuvuta Shuka ilhali pamekucha?Siwaamini kabisa na ukali wao Wa leo tu(waigizaji).
 
Mungu hamfichi mnafiki, hata mali ya ushirikina shetani lazima ajionyeshe ni yeye kakupa; nawaambia Watanzania wenzangu wa dini zote na vyama vyote vya siasa, hakika kuna mwisho wa dhuluma. Wabunge(mavuvuzela) wa CCM na wachumba wao wa CUF na vyama vya TLP NCCR nk hawana uchungu na nchi hii hakika, utawaona bungeni wakipiga meza hwahwahwahwaa na ndiyoooooooo. Ni aibu kubwa kwa TZ. CCM ni wezi wa kura Na 1 duniani, wabunge wengi hawakushinda uchaguzi uliopita wa wabunge na rais. Mungu atatujalia CCM ije ikose hata uenyekiti wa nyumba kumi hata kama wana PhD ya kuchakachua.
 
Hakika siku gari la ccm zinahesabika,abiria chukua tahadhari kuepusha maisha yako kabla ya 2015. Vijana tunasubiri lini daftari la kudumu la wapiga kura litarekebishwa?
 
Mzee Mwanakijiji nimekukubali sana kwa tenzi zako. Hawa jamaa wanakumbuka shuka wakati kulishapambazuka. It is too late to catch the train.
 
Sipendi sana mazingaombwe:

Chama chenu
Serikali yenu
Sera zenu
Sheria mtunge nyinyi
Vyombo vya usalama vyenu
Watendaji mteue nyinyi
Majaji wote mmeteua nyiyi
Wakuu wote wa vyombo vya usalama mmewatua nyinyi
Mwanasheria Mkuu wenu
DPP wenu
Ikulu yenu
Bunge lenu
Mawaziri wote wenu
Manaibu wote mawaziri wenu

LAKINI MNA UJASIRI WA KURUKA KIMANGA KANA KWAMBA SERIKALI IMEUNDWA NA CHADEMA na wapo watu katika akili timamu kabisa wanafurahia haya maonesho yenu!! Kama kweli leo mmefunguka na kukombolewa kifikra basi fungeni kamili! Fungeni na mtoke kwenye giza na kuja kwenye mwanga. Hamhitaji kusubiri 2015! Jiuzuluni leo hii ili mjipe nafasi na kuhesabiwa! Vinginevyo, watacheza kwata wale wenye kuamini mnaweza kuwapigisha kwata la akili!!

MMM.... its not a spin, ufa umeanza kuonyesha ya chumbani!!!!!

chunguza utagundua... NI kama yale ya NEC na CC, mpasuko umevuka bendera sasa umeingia kwenye madawati
 
Makelele yooote yale. Wana uwezo wa kuleta hoja binafsi kuziba mianya ya sheria na kuongezea nguvu sheria dhaifu. Au kama Mwanakijiji alivyosema, wana weza kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Hivi si katika bunge la mwaka jana tu Serukamba alimtolea macho Zitto akimkoromea eti "wapinzani wana nongwa kungangania" wabunge waondolewa kwenye bodi za wakurugenzi kwenye mashirika ya umma. Leo hii ndo anajifanya kukoremea serikali yake? Wabunge wa CCM ni wanafiki wa kutupa!
 
Back
Top Bottom