Huenda wamemlenga Mbowe na Lissu.Bunge limesema katika sheria Mpya ya Vyama vya Siasa Chama chenye Kiongozi wa kutoa maamuzi ambaye ni mkimbizi kitachukuliwa hatua kali Sana
Source: TBC
Mlale Unono 😂😂🔥
Tulishachelewa, na yaliyopita si ndwele tugange yajayo, tuwe makini zaidi huko tuendako!
Huenda wamemlenga Mbowe na Lissu.
Lisu ni Myahudi 🐼Huenda wamemlenga Mbowe na Lissu.
Alipitia Ethiopia wakati wa Operation Solomon.Lisu ni Myahudi 🐼
Ololosokwan...Viongozi wengi wa CCM Ngorongoro,Longido & Loliondo ni raia wa Kenya.
Tuanze na cha ukoo wa panya kinachotafuna boti tunalosafiria🤣.Umeamkaje Jo🤔Bunge limesema katika sheria Mpya ya Vyama vya Siasa Chama chenye Kiongozi wa kutoa maamuzi ambaye ni mkimbizi kitachukuliwa hatua kali Sana
Source: TBC
Mlale Unono 😂😂🔥
Upatikanaji wa meme umekuwa tatizo nchini.Itafutwe namna bora ya kutatua/kupambana ili kujikwamua nalo.Hilo la kukaa bungeni kusubiri posho ili upambane na Lissu ni upumbavu uliopea viwango.Halafu mwenyekiti/spika wa bunge hilo ni dokta!A parliament of ows!Bunge limesema katika sheria Mpya ya Vyama vya Siasa Chama chenye Kiongozi wa kutoa maamuzi ambaye ni mkimbizi kitachukuliwa hatua kali Sana
Source: TBC
Mlale Unono 😂😂🔥
Wana wa Queen of Sheba 😀😀Alipitia Ethiopia wakati wa Operation Solomon.
Umeme angeuweza Magufuli tuUpatikanaji wa meme umekuwa tatizo nchini.Itafutwe namna bora ya kutatua/kupambana ili kujikwamua nalo.Hilo la kukaa bungeni kusubiri posho ili upambane na Lissu ni upumbavu uliopea viwango.Halafu mwenyekiti/spika wa bunge hilo ni dokta!A parliament of ows!
Huwezi jua.Labda angweza.Umeme angeuweza Magufuli tu
Mrudi Zito aondoke kurudi kwao hahaha (ila aliyataka yeye kwa kujikita na udini na chuki zisizo na maana kwa Dkt Magufuli), hakika ipo siku mfumo utamrudisha BurundiZitto Kabwe
ndio maana ana miakili mingiLisu ni Myahudi 🐼