nakujua. jioni mwakemwake jomba.
babylon bar na pa kzush. vwanja vpyaaa...
A town MMUUU galz.. masai na barbaig
ungesema mapema ningekuandalia dinner hapa kwangu, usa river.
Viwanja vingi vimetulia sana sema hutakuwa na muda...lol
Tukionana tutajua
Hahahaha Lily Pub Albeto kwa mbele kidogo kuna korongo si salama sana wanaweza kumfanya kitu mbaya....Bora aende Sakina Bar kabisa coz si mbali na AlbertoSehemu ziko nyingi tu mkuu,
1. Pub Albero
2. Mango Tree
3. 2 I pub
nk nk karibu