Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahahaaaa pale napo jina na uhalisia haviendani kabisa....sikushauri kwenda aisee....asenti jembe... jana nilimalizia jioni kwa mkandamizo wa mnafu wa kuku pale Florida..nyepesi nyepesi nimiambia Matongee na Bugaluu pamefulia... si kama ziku za nyuma.. nimeambiwa kuna pub maarufu kwa jina la Matak* Matak* Bar... nadhani jioni itaanzia hapo jomba...