viwanja A town..

asenti jembe... jana nilimalizia jioni kwa mkandamizo wa mnafu wa kuku pale Florida..nyepesi nyepesi nimiambia Matongee na Bugaluu pamefulia... si kama ziku za nyuma.. nimeambiwa kuna pub maarufu kwa jina la Matak* Matak* Bar... nadhani jioni itaanzia hapo jomba...
Hahahahaaaa pale napo jina na uhalisia haviendani kabisa....sikushauri kwenda aisee....
 
asenti jembe... jana nilimalizia jioni kwa mkandamizo wa mnafu wa kuku pale Florida..nyepesi nyepesi nimiambia Matongee na Bugaluu pamefulia... si kama ziku za nyuma.. nimeambiwa kuna pub maarufu kwa jina la Matak* Matak* Bar... nadhani jioni itaanzia hapo jomba...

Njoo Empire Sports Bar.....waungwana hukutana pale kila w/end......

 
Hahahaha Lily Pub Albeto kwa mbele kidogo kuna korongo si salama sana wanaweza kumfanya kitu mbaya....Bora aende Sakina Bar kabisa coz si mbali na Alberto

Nafikiri tumepishana kidogo naongelea Pub Albero ya haile selassie road, pako poa sana hakuna dimbwi wala mto.

 
pako njema....hasa pale kwenye kale kachobisi....kule ghorofani....ka vip....pametulia kweli....


kweli we mkali . kumbe ushafika pale ? kule juu ndio magoli kwenye kona. nimekuaminia mamaaaaangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom