Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,326
- 18,790
lux ndio ipi hiyo ?
ilipokuwa Mawingu zamani zile....karibu na Bonite.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lux ndio ipi hiyo ?
ilipokuwa Mawingu zamani zile....karibu na Bonite.....
mawingu disco ?bado iko tu....
ipo nyingine mpya wanaenda masharobaro.....
Tukutane City Park kesho mchana tupate nyama ya kuku wa kienyeji
Sehemu ziko nyingi tu mkuu,
1. Pub Albero
2. Mango Tree
3. 2 I pub
nk nk karibu
ok..mie naijua ya zamani..ya enzi za Mr C....hiyo ya masharobaro iko wapi?..pale pale?
hiyo mawingu mpya iko wapi...maana karume day nakuja A town
dah...kiwanja kipya sana hiki Lily....
ile ilikuwa poa....kumbe bebii ulikuwepo eeh.....hivi yupo wapi Mr C siku hizi.....?
bebii usijali....mimi nitakuonyesha ilipo ukishafika.....
kwa wasiojua ilipo ni pale maeneo ya NBC ya Uhuru road....kwenye kona kona fulani huko....
leo nimeamini kila mtu na starehe yake!!!manake hivi viwanja vilivyotajwa humu ni takataka tupu!
mkuu wewe unaingiaga...Runaway nini?
Naingiaga matejoo disko malapa au kwa mromboo kula mbusi!
Usinikumbushe jamani..lolTukutane City Park kesho mchana tupate nyama ya kuku wa kienyeji