KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Mara kadhaa nimekuwa nikilisikia hili "watoto wa mjini" ama "Born town".
Jambo ambalo limenifanya nitake kujua kuhusu wao ni kina nani na wanajishughulisha na nini...??
Fikra zangu kuhusu wao..
Hii ni nadharia au fikra zangu kuhusu wao.. kama jina lao lilivyo watoto wa mjini, nahisi mambo yao yamekaa kijanjajanja,deals za magendo,umafia na Kila aina ya ukiritimba!.
Nifikiriavyo kuhusu wao ni kuwa biashara zote halamu wao ndio wamezishika!,watu fulani wenye maisha ya hali ya juu,wanasukuma ndinga Kali na nyumba zenye marumaru huku wakiwa ni wataalum wakula bata!.
Ukiiga ulaji wao wa Bata lazima uchanike msamba!..
Maana pesa zao ni kama chemchem isiyokata na hakuna njia utamkwamsisha labda wewe ndio utakwama!.
Ukimsema kwenye vyombo vya Sheria ni kama wewe ndio umejisema kuwa unafatilia vitu vyake,hivyo upo hatarini kupotezwa!.
Deals zao ni ngada,utakatishaji fedha,wanatumia pesa zao kuiba biashara ambayo wanaona inabingo na ukiwasema kuwa wameiba biashara yako wewe ndio utasombwa kuwa mwizi!.
Wao ndio wafanikishaji wa mambo kadhaa wanayotaka yapite kwa manufaa yao!.. nawaza kwa herufi kubwa!.
Wewe unafahamu nini kuhusu watoto wa mjini a.k.a Born town...???
Jambo ambalo limenifanya nitake kujua kuhusu wao ni kina nani na wanajishughulisha na nini...??
Fikra zangu kuhusu wao..
Hii ni nadharia au fikra zangu kuhusu wao.. kama jina lao lilivyo watoto wa mjini, nahisi mambo yao yamekaa kijanjajanja,deals za magendo,umafia na Kila aina ya ukiritimba!.
Nifikiriavyo kuhusu wao ni kuwa biashara zote halamu wao ndio wamezishika!,watu fulani wenye maisha ya hali ya juu,wanasukuma ndinga Kali na nyumba zenye marumaru huku wakiwa ni wataalum wakula bata!.
Ukiiga ulaji wao wa Bata lazima uchanike msamba!..
Maana pesa zao ni kama chemchem isiyokata na hakuna njia utamkwamsisha labda wewe ndio utakwama!.
Ukimsema kwenye vyombo vya Sheria ni kama wewe ndio umejisema kuwa unafatilia vitu vyake,hivyo upo hatarini kupotezwa!.
Deals zao ni ngada,utakatishaji fedha,wanatumia pesa zao kuiba biashara ambayo wanaona inabingo na ukiwasema kuwa wameiba biashara yako wewe ndio utasombwa kuwa mwizi!.
Wao ndio wafanikishaji wa mambo kadhaa wanayotaka yapite kwa manufaa yao!.. nawaza kwa herufi kubwa!.
Wewe unafahamu nini kuhusu watoto wa mjini a.k.a Born town...???