Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Nimependa habari kutoka TCRA kuwa wana mpango wa kuhakikisha vyombo tajwa vinatumia ama mnara mmoja katka baadhi ya maeneo.
hii itapunguza gharama za kuhudumia minara hiyo na utitiri wa minara kwa makazi ya watu
chanzo,habari ya TBC ya saa 2 usiku
hii itapunguza gharama za kuhudumia minara hiyo na utitiri wa minara kwa makazi ya watu
chanzo,habari ya TBC ya saa 2 usiku